Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,602
- 830,325
Ni zaidi ya miaka 25 sasa tangu kondomu ilipoingia kwa mara ya kwanza nchini, mengi yametokea kuhusiana na hii kitu mfano zimeuwa watoto waliizichea na kuzimeza kwa bahati mbaya, waume kufumaniwa kwenye Nguo na wallet zao wakiwa nazo, watu kutaka kutoa pesa badala yake wakatoa kondomu nk nk
Kuna stori nyingi mno waweza shiriki Hapa au hata kutoa maoni yako
Karibuni
Kuna stori nyingi mno waweza shiriki Hapa au hata kutoa maoni yako
Karibuni