Kifimbocheza
JF-Expert Member
- Aug 7, 2008
- 494
- 120
Hiyo yooote ni Road to 2010
Be carefully .......more to come
Be carefully .......more to come
Ule usemi wa wahenga usemao SUBIRA YAVUTA HERI umedhihirika kwa wakazi wa Dar,baada ya Kampuni ya ujenzi ya MAC Construction kuanza mchakato wa kutathimini idadi ya magari yanayotumia barabara ya Ally Hassan Mwinyi na ile ya New Bagamoyo kwa kipindi cha asubuhi hadi jioni kuanzia jana tarehe 14/04/2009 hadi kesho 16/04/2009.Kwa wakazi wa Dar wanaotumia barabara hizo mbili wameshuhudia kwenye makutano ya Sam Nujoma Mwenge,Shekilango Bamaga,Kajenge Sayansi na Kawawa Morocco kuna vijana waliovaa visibau vinavyong'aa (Reflectors). Akihojiwa na Bonge wa Power Breakfast kiongozi wao alisema kuwa wapo katika mchakato wa kuongeza barabara hiyo kutoka Morocco hadi Tegeta kuwa ya njia nne. Hakika hii itakuwa faraja kwa wakazi wa Dar ambao wamekuwa wakipoteza muda mwingi barabarani.
huu msemo wa vijana wa udsm......karibu sana..hizo chai tu
...Akihojiwa na Bonge wa Power Breakfast kiongozi wao alisema kuwa wapo katika mchakato wa kuongeza barabara hiyo kutoka Morocco hadi Tegeta kuwa ya njia nne. Hakika hii itakuwa faraja kwa wakazi wa Dar ambao wamekuwa wakipoteza muda mwingi barabarani.
Ule usemi wa wahenga usemao SUBIRA YAVUTA HERI umedhihirika kwa wakazi wa Dar,baada ya Kampuni ya ujenzi ya MAC Construction kuanza mchakato wa kutathimini idadi ya magari yanayotumia barabara ya Ally Hassan Mwinyi na ile ya New Bagamoyo kwa kipindi cha asubuhi hadi jioni kuanzia jana tarehe 14/04/2009 hadi kesho 16/04/2009.Kwa wakazi wa Dar wanaotumia barabara hizo mbili wameshuhudia kwenye makutano ya Sam Nujoma Mwenge,Shekilango Bamaga,Kajenge Sayansi na Kawawa Morocco kuna vijana waliovaa visibau vinavyong'aa (Reflectors). Akihojiwa na Bonge wa Power Breakfast kiongozi wao alisema kuwa wapo katika mchakato wa kuongeza barabara hiyo kutoka Morocco hadi Tegeta kuwa ya njia nne. Hakika hii itakuwa faraja kwa wakazi wa Dar ambao wamekuwa wakipoteza muda mwingi barabarani.
Siku zote tumekuwa tunatabika na foleni si asubuhi wala jioni wakati huo huo vihice vimepungua sana katika ya jiji lakini foleni hipo pale pale tatizo vihice au bala bala ndogo?
Mfano:
1.Bala bala ya morogoro asubihi foleni inaanzia
manzese, jioni foleni inaanzia kona ya akiba saa 11
kufika Kimara saa 1 usiku au saa 2 usiku
anaekwenda moro amefika wa Mbezi usiseme je
Kibamba. TATIZO NINI?
Siku zote tumekuwa tunatabika na foleni si asubuhi wala jioni wakati huo huo vihice vimepungua sana katika ya jiji lakini foleni hipo pale pale tatizo vihice au bala bala ndogo?
Mfano:
1.Bala bala ya morogoro asubihi foleni inaanzia
manzese, jioni foleni inaanzia kona ya akiba saa 11
kufika Kimara saa 1 usiku au saa 2 usiku
anaekwenda moro amefika wa Mbezi usiseme je
Kibamba. TATIZO NINI?
Just kuuliza. Hivi ule mpango wa mabasi yaendayo kasi umeishia wapi????? Au mimi ndo nilielewa vibaya? Nasikia na hela watu walisha lipwa fidia katika kupisha ujenzi wa barabara. Naomba kufahamishwa.