Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Ingependeza kutumia siku ya leo kwa kutoa au kuchangia vitu vya maana ili kuweza kusukuma gurudumu la maendeleo hapo bongo badala ya kuwa Hadija Kopa... kumbuka kesho huna jeuri ya kuwepo hapa na mipasho yako...Najua huko saudi arabia unakoishi kuna restriction sana ya watu wa aina fulani kutoa maoni yao. Karibu sana kwenye free world ya JF!