Well,there is no point!Kama kina Mramba, Yona na wengine walitimuliwa na kufikishwa mahakamani kwa ajili ya kulitia taifa hasara na matumizi mabaya ya madaraka,nini kinachozuia kutowafungulia mashitaka hawa waliotajwa?
Is there really a point ya kufanya uchunguzi juu ya uchunguzi?Hii yote inaniaminisha kuwa we have been trying to solve this whole issue from a completely wrong perspective. Cha kufanya we should've found out the source ya hii IPTL.Knowing that can possibly answer a lot of questions kama tuendelee au vipi.Barua ya kujiuzulu AG ipo kimipasho pasho tu; as a President, nimedharau maamuzi laini yake na kwa kuwatukana wananchi waliyoiweka serikali yake kwenye madaraka. CAG na PCCB ni taasisi zilizo chini ya aliyewateua na zinalindwa na katiba,yes? Sasa iweje these institutions leo hii zisiaminiwe? What is the point of having them in the first place? Kama wabunge ndio wawakilishi wa wananchi, na maamuzi waliyofanya ni mtazamo wa wananchi, kuna haja ya kuwaweka pale bungeni kama hata chochote wanachosema hakitekelezwi? Our rights and wealth vyote tumeibiwa.
I want to believe that kura yako tu ndio silaha unayoweza kuitumia kuondoa all these injustices but again sina uhakika sana na hili. It is very possible hata hiyo silaha ikapokonywa na wananchi wakakubali tu kwa sababu tunaibiwa kila siku,viongozi wetu wanatutukana tena hadharani na sisi tunapiga makofi kushangilia, hakuna chochote tunafanya. Ni jambo la aibu mpaka sasa 50+ years after 'independence' bado hatujui hata vision ya nchi yetu. What do we really stand for? Kweli aliyetuloga needs to set us free.
Is there really a point ya kufanya uchunguzi juu ya uchunguzi?Hii yote inaniaminisha kuwa we have been trying to solve this whole issue from a completely wrong perspective. Cha kufanya we should've found out the source ya hii IPTL.Knowing that can possibly answer a lot of questions kama tuendelee au vipi.Barua ya kujiuzulu AG ipo kimipasho pasho tu; as a President, nimedharau maamuzi laini yake na kwa kuwatukana wananchi waliyoiweka serikali yake kwenye madaraka. CAG na PCCB ni taasisi zilizo chini ya aliyewateua na zinalindwa na katiba,yes? Sasa iweje these institutions leo hii zisiaminiwe? What is the point of having them in the first place? Kama wabunge ndio wawakilishi wa wananchi, na maamuzi waliyofanya ni mtazamo wa wananchi, kuna haja ya kuwaweka pale bungeni kama hata chochote wanachosema hakitekelezwi? Our rights and wealth vyote tumeibiwa.
I want to believe that kura yako tu ndio silaha unayoweza kuitumia kuondoa all these injustices but again sina uhakika sana na hili. It is very possible hata hiyo silaha ikapokonywa na wananchi wakakubali tu kwa sababu tunaibiwa kila siku,viongozi wetu wanatutukana tena hadharani na sisi tunapiga makofi kushangilia, hakuna chochote tunafanya. Ni jambo la aibu mpaka sasa 50+ years after 'independence' bado hatujui hata vision ya nchi yetu. What do we really stand for? Kweli aliyetuloga needs to set us free.