Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,152
Mbayasanaa kaka wale Sumatra wamekaa kimya mpakasasaaWatu wanapiga 10% zao hapo kiaina. Siku zote mtu wa chini ndo huumia.
Mbayasanaa kaka wale Sumatra wamekaa kimya mpakasasaaWatu wanapiga 10% zao hapo kiaina. Siku zote mtu wa chini ndo huumia.
Kweli kabisa mkuu hakuna urahisi waliotuletea sis watu wa chiniMbayasanaa kaka wale Sumatra wamekaa kimya mpakasasaa
Hivi kwa utaratibu uliopo sasa, DEREVA ANAJUWAJE KWAMBA KITUO KIFUATACHO KUNA MTU ANASHUKA? AU ANAPANDA KUELEKEA LINAKOKWENDA BASI HUSIKA? MAANA MKIFIKA SEHEMU KAMA MOROCO HOTEL HUWEZI JUWA WALIOKO KITUONI WANAKWENDA KIMARA AU GEREZANI AU KIVUKONIMimi nikiwa kama abiria wa DART maomba kuonyeshwa kukerwa kwangu na huduma zenu kwa wiki hii.
Kuna mpango mmeanzisha wa kusimama kila kituo hata lama gari limejaa.
Mgano sasa hivi nipo kwenye gari namba A-032 kutoka Kimara kwenda Gerezani
Dereva lasema kapewa maagizo ya kusimama kila kituo hata kama gari limejaa na hakuna abiria anayeshuka.
Kuna umuhimu hani wa kufanya hivyo, uharaka tuliambiwa?
Ulalamishi mwingine wa kitoto.... haya leo umejuwa hawana chenji, kesho utarudi tena pale na hela ya hivyo hivyo..... MBONA MAKANISANI NA MISIKITINI MNAENDA NA CHENJI KAMILI..??Nmefika MOROCO asubuh na elfu tano naambiwa chenji hamna.....hela nitafte kwa shida halaf bdo nitafte na chenji...
Ni jukumu lao kutafta chenji cyo la mteja.....kanisan mtu hatoi chenji anatoa kadiri ya kipato chake cyo chenji mkuuUlalamishi mwingine wa kitoto.... haya leo umejuwa hawana chenji, kesho utarudi tena pale na hela ya hivyo hivyo..... MBONA MAKANISANI NA MISIKITINI MNAENDA NA CHENJI KAMILI..??
Ni jukumu lao kutoa chenji au mazowea tuliyojizowesha..?? Mhona madukani mkiambiwa hawana chenji mnaondoka..?? Tuache mazoweaNi jukumu lao kutafta chenji cyo la mteja.....kanisan mtu hatoi chenji anatoa kadiri ya kipato chake cyo chenji mkuu
Kwani kanisani hauwezi kutoa uten ukachukua ubuku tano...Ni jukumu lao kutafta chenji cyo la mteja.....kanisan mtu hatoi chenji anatoa kadiri ya kipato chake cyo chenji mkuu