frankshops
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 212
- 180
Watoto wa walala hoi wanalia ajira,watoto wa vigogo wanazidi kutesa kila leo, Kweli nimeamini nchi hii ina wenyewe ni mali ya familia za watu,Hta aibu hakuna,wanajazana kwenye nafasi,kwa upendeleo,kwani wengine hatuna elimu.Si mlidhike na ubunge?Vyeo vitatu vitatu wakati wasomi wengine Hawana ajira.Nimeona mkeka wa baraza jipya la Mawaziri, unajiuliza uchaguzi umeisha au bado tupo Kwenye kampeni? Watu waliopo Kwenye baraza la Mawaziri ni watoto wa familia zilezile zinazoelekea kustaafu au zilizostaafu.
Hakuna ufanisi, ubunifu wala mikakati ndani ya baraza bali wamewekwa watu wakumsaidia Mhe. Rais kupiga kampeni kuelekea uchaguzi ujao.
Baraza la Mawaziri kwa kipindi hiki halipaswi kujazwa watu wa propaganda, inahitaji watu wakufikiri kuhusu maendeleo ya nchi yetu.
Baraza la sasa limerejesha fadhila Kwa timu Jk baada ya miaka mitano ya mateso. Naiona Tanzania maskini huko tuendako
Magufuli alijaza ndugu kuanzia baraza,hazina hadi makatibu tawala akiwemo mwanaye wa kumzaa Ruth Magufuli ambaye ni katibu tawala wilaya ya Morogoro.Hili baraza limeonyesha kiwango kikubwa sana cha insecurity, kiufupi jinsia inaathiri utendaji wa mama yenu.
Yes hakuna nchi yoyote iliyowahi kufanikiwa kwa kuongozwa na mwanamke kama kiongozi mkuu kabisa except Germany, ni swala la muda tu.
Na wakwilima akina mchengerwaShida ni tishio kwa mzoga gang kwa kuwa alikuwa mfuasi wa Magu,waliondolewa wote ni wafuasi wa magu kindakindaki wao wamegoma kwenda na mama wa kaya, kaawacha akidhani ndio anaondoa kadhia kumbe kadhia ndio kwanza imeanza, hivi Kingu,Bulembo, Zungu pamoja na kuimba mapambio wee hawajapewa uwaziri ama kweli CCM ina wenyewe na wenyewe ni wenye baba zao, akina January,Nape,Ridhiwani( huyu ndio ajira ya kwanza rasmi kila kitu analetewa mezani kuanzia ubunge na sasa uwaziri)
Barazani ndug yake alikuwa nan wewe msoga gang?Magufuli alijaza ndugu kuanzia baraza,hazina hadi makatibu tawala akiwemo mwanaye wa kumzaa Ruth Magufuli ambaye ni katibu tawala wilaya ya Morogoro.
Hoffman Sanga mkwe wake Magufuli katibu tawala wilaya ya Mvomero.
Dotto James katibu mkuu hazina ili kurahisisha uchotaji wa fedha bila kuulizwa.
Haya mbona hukuhoji hadi ukae kuhoji leo?
Kingwangwala bado yupo nje ya box? pamoja na ngonjera na mapambio yote,Nape alisema ukweli CCM ina wenyewe, na wenyewe ndio baba zao ,sasa huyu Dr mchunga ng'ombe yeye na CCM wapi na wapi😅😅😅😅😅
Dotto Biteko. Siongei kwa kubahatisha bali naongea ninachokifahamu kwa facts sio blah blah.Barazani ndug yake alikuwa nan wewe msoga gang?
Safi kabisa. Tupo wengi kwa nini siku zote wawe wao tu?Lukuvi hayumo, duh
Good riddance!Lukuvi
Kabudi
Una maana hawa jamaa ni wavivu?
Eti nappe naye karudi kuwa waziri mama naona anatutania aiseeeMama uwezo mdg mno, washauri nao wanashauri kwa uwoga
Hakuna Baraza hapo zaidi ya vichekesho, watu walio pewa nafasi huoni uwezo wao wa kufanya lolote la maana ndani ya baraza/wizara aliyo pewa
Eti nape ndo mchapa kazi ameridishwa hukoLukuvi
Kabudi
Una maana hawa jamaa ni wavivu?
Hivi hata hauoni aibu kuongea hizi pumba??Acha unafiki hao walioteuliwa wana tatizo gani? Nipe kashfa za hao wateuliwa ambazo zimethibitika kuliko kubwabwaja tu.
Kila Rais ana watu wake anaoamini watamsaidia sasa shida iko wapi hapo?
Hadi ateuliwe ndugu yako ndo uone Rais kafanya jambo la maana?
Nyie hamna lenu nchi ina wenyewe hii🐒Yana mwisho, hakuna lililo la milele,sisi watoto tuliokulia mlo mmoja wa kulamangia nasi ipo siku yetu inakuja soon, kwa sasa wacha wenye keki mzoga timu wakenue meno 32 baada ya kuminywa makende kwa miaka 5
Nilijua utaitaja Ujerumani na ni kwa sababu inaipa misaada CHADEMA kwa ajili ya kufanyia uchochezi na kutukana mitandaoni.Hili baraza limeonyesha kiwango kikubwa sana cha insecurity, kiufupi jinsia inaathiri utendaji wa mama yenu.
Yes hakuna nchi yoyote iliyowahi kufanikiwa kwa kuongozwa na mwanamke kama kiongozi mkuu kabisa except Germany, ni swala la muda tu.
Jidanganye mwenyew,tegemeo la chama chakavu ni katiba chakavu tu hakuna lingneOn my view:
Magufuli alifanikiwa sana kwenye uchaguzi kutokana na ufanisi kila kona kutokana na mawaziri aliokuwa nao.
Ushindi wa CCM 2025 utakuwa determined sana na perfomance ya hili baraza.
Raisi anachukua watu wa hovyo hovyo naweeka waru wa ajabu ajabu .hakika naona shida sana ya mama kuwania uraisi 2025Hagaya ni utopolo
Lukuvi ana shida gani?
Kabudi naye!