Maoni: Safu ya Baraza la Mawaziri haiakisi maendeleo, inaakisi nchi kumilikiwa na familia fulani zinazoamini bila wao hakuna Tanzania

Watoto wa walala hoi wanalia ajira,watoto wa vigogo wanazidi kutesa kila leo, Kweli nimeamini nchi hii ina wenyewe ni mali ya familia za watu,Hta aibu hakuna,wanajazana kwenye nafasi,kwa upendeleo,kwani wengine hatuna elimu.Si mlidhike na ubunge?Vyeo vitatu vitatu wakati wasomi wengine Hawana ajira.
 
Hili baraza limeonyesha kiwango kikubwa sana cha insecurity, kiufupi jinsia inaathiri utendaji wa mama yenu.

Yes hakuna nchi yoyote iliyowahi kufanikiwa kwa kuongozwa na mwanamke kama kiongozi mkuu kabisa except Germany, ni swala la muda tu.
Magufuli alijaza ndugu kuanzia baraza,hazina hadi makatibu tawala akiwemo mwanaye wa kumzaa Ruth Magufuli ambaye ni katibu tawala wilaya ya Morogoro.

Hoffman Sanga mkwe wake Magufuli katibu tawala wilaya ya Mvomero.

Dotto James katibu mkuu hazina ili kurahisisha uchotaji wa fedha bila kuulizwa.

Haya mbona hukuhoji hadi ukae kuhoji leo?
 
Na wakwilima akina mchengerwa
 
Barazani ndug yake alikuwa nan wewe msoga gang?
 
Baadhi ya watu humu ni unafiki tu unawasumbua.

Magufuli alijaza watu wake hadi ndugu na watoto kwenye serikali hakuna aliyekemea ama kushangazwa lakini sasahivi wanajifanya kushangaa uteuzi alioufanya mheshimiwa Rais Samia.

Ruth Magufuli huyu ni mtoto wa damu wa Magufuli alimteua kama katibu tawala wilaya ya Morogoro.

Hoffman Sanga ni mkwe wa Magufuli aliyemuoa Ruth Magufuli ni katibu tawala wilaya Mvomero.

Dotto James ni mpwa wa Magufuli alimuweka Hazina ili kurahisisha kazi ya uchotaji fedha pasipo kipangamizi.

Na wengine wengi siwezi kuwaandika hapa ila wanajifanya kushangazwa na uteuzi alioufanya Mheshimiwa Rais.
 
Tulia wewe!! Mbona jiwe alikuwa anajaza warafiki na wanaukoo mkatulia, Mama Wala Hana hiana angekuwa na akili unayoisema hao kina Biteko,jafo,mbarawa ,Gwajima,ndalichako wote wangekuwa chali sahzi.
Ila Mama Turudishie Mchengerwa utumishi,au mpeleke hata Tamisemi,michezo na utamaduni Ni kumunderuse
 
Hivi hata hauoni aibu kuongea hizi pumba??
 
Yana mwisho, hakuna lililo la milele,sisi watoto tuliokulia mlo mmoja wa kulamangia nasi ipo siku yetu inakuja soon, kwa sasa wacha wenye keki mzoga timu wakenue meno 32 baada ya kuminywa makende kwa miaka 5
Nyie hamna lenu nchi ina wenyewe hii🐒
 
Hili baraza limeonyesha kiwango kikubwa sana cha insecurity, kiufupi jinsia inaathiri utendaji wa mama yenu.

Yes hakuna nchi yoyote iliyowahi kufanikiwa kwa kuongozwa na mwanamke kama kiongozi mkuu kabisa except Germany, ni swala la muda tu.
Nilijua utaitaja Ujerumani na ni kwa sababu inaipa misaada CHADEMA kwa ajili ya kufanyia uchochezi na kutukana mitandaoni.
 
On my view:

Magufuli alifanikiwa sana kwenye uchaguzi kutokana na ufanisi kila kona kutokana na mawaziri aliokuwa nao.

Ushindi wa CCM 2025 utakuwa determined sana na perfomance ya hili baraza.
Jidanganye mwenyew,tegemeo la chama chakavu ni katiba chakavu tu hakuna lingne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…