Bangu-silo
Senior Member
- Jan 9, 2013
- 191
- 74
kwa imani ya dini ya kiislamu, ukristo ni giza(si dini ya kweli) hivyo wakristo kwa ujumla wapo kwenye upotevu ulio mkubwa, ni nadra sana kukuta mzazi wa kiislamu kumruhusu mwanae(binti) kuplewa na mkristo kwa maana ya kutotaka kumtia gizani. Aidha hata kwa watoto wa kiume ambao wanataka kuoa mabinti wakikristo ni vigumu sana wazazi kukubaliana nao unless binti akubali kubadili dini kuingia uislamu.
Muislamu wa kiume anatakiwa akae na muyahudi au mkiristo (ahlul-kitab) wakiowana kwa muda maalum tu kwa ajili ya kumuongoza mkewe katika dini ya haki. Ikiwa imeshindikana atatakiwa kumuacha ila watoto watakua chini ya baba yao katika malezi ya kiislam. Kwa sababu mwanaume ndio kiongozi wa familia.
Mbona Mzee Makamba kamuo Mkristo na kila mtu yupo na dini yake ile ile na mzee Makamba ni muumini mzuri tuu...
Waislamu wanaume wameruhusika kuowa Ahlul-kitabu maana yake ni (wakristo na mayahudi) hawa ni wanawake wema miongoni mwa waliopewa kitabuwalmuhswanatu mina ladhina uutulkitaba Mwanamke wa kiislamu haruhusiki kuolewana wakristo au mayahudi. Ni kwamba mwanamume awendiye mwenye mas-uliyah na nyumba na watoto, kwani kwa Hikma ya Allaah سبحانه وتعالى Amemfanya mume awe kiongozi wa nyumba kwa sababu itakuwa ni wepesikwake kumuongoza mkewe. Na inabidi Muislamu anapooa Ahlul-Kitaab ajitahidiawezavyo kumuongoza katika dini ya Uislamu. Lengo kubwa kwamuislamu kuowa wakristo ni kumuongoza katika njia iliyonyooka nayo nayo ni diniya kiiislamu. Mwanamke ni dhaifu na mwepesi hivo haruhusiki kuolewa na mayahusiau wakristo. Mpaka apo nadhani nimeleweka uzuri. Allah ndie anayejua zaid
Hapo nadhani amekujibu kulingana na mafundisho ya kiislamu, kwa hiyo ukitaka na kujadili sheria ya ndoa au sijui familia ya Tanzania utachanganya mambo sana. au bidodo?
Hii kitu haipo hata kidogo ndugu tena haiwezekani, wengi wanaofanya hivyo kama ambavyo amesema member mmoja hapo juu, huyo muislam atakuwa hajui thamani na vigezo vya dini ya kiislam, ndo maana inatakiwa ifike time wakristo waweze kutofautisha waislam(mfano: ISSA PONDA,AMIR FAREED, ALLY MSELEM) na watu wenye majina ya kiislam( mfano: mufti SHAABAN SIMBA,alhaj MUSSA SALUM(kadhi wa mkoa dar)). Nadhani hapo nimeelweweka!
Nimesoma maoni mengi, na naomba kuchangia bila ya nia ya kumkashifu Mtu au Dini hapa.
1. Nimesoma maoni ya ndoa baina ya mwislamu, mkristo na myahudi. Lakini, Mimi ni mwislamu na sijaoa katika Dini hizo Tatu.
2. Katika nchi Tajiri Hamna mume kuwa na Sauti au Nguvu kuliko mwamamme. Kila nchi inavyotajirika iwe ya kiislamu au kikristo , Ndio kina mama wanazidi kupata Haki sawa. Kwa hivyo, ni Vigumu kutegemea mwanamume awe na Sauti kubwa kuliko mwamamke nyumbani katika nchi Tajiri hasa Zenye demokrasia kamili.
3. Dini ni Imani yako, na Hamna binadamu anaweza kufuata masharti ya Dini hata asilimia 30 ya Sheria za Dini Yake. Dini ya kiislamu inakataza RIBA, pombe na inafuata sharia law. Kuna Mtu kakatwa mkono Tanzania baada ya kuiba? Basi Kama Tanzania haifuati waumini wao hawafuati Sheria za Quran. Pia kutumia dawa kuzuia Mimba na kondom ni marufuku kwa Sababu tunaingilia kazi ya Mungu. Katika maisha yakileo ni vigumu kuzaa bila ya kupanga, na mara nyingi wanawake wanafunga uzazi au wanatumia dawa, kinyume na sheria za dini yao.Kujiita mwislamu au mkristo peke Yake Haitoshi Kama hatuwezi Kuishi na Sheria Ngumu za Dini. Kwa Karne ya 21, kila nchi inavyotajirika, utakuta Imani za Dini zote zinapungua.
Nawakilisha.
Muislamu wa kiume anatakiwa akae na muyahudi au mkiristo (ahlul-kitab) wakiowana kwa muda maalum tu kwa ajili ya kumuongoza mkewe katika dini ya haki. Ikiwa imeshindikana atatakiwa kumuacha ila watoto watakua chini ya baba yao katika malezi ya kiislam. Kwa sababu mwanaume ndio kiongozi wa familia.
Katika uislam hakuna ndoa ya muislam na asiyekuwa wa dini hiyo. Kama ni lazima aolewe ni sharti akubali tena kwa hiari yake kuwa muislam ndipo ndoa ifungwe. Tusichanganye kati ya watu wenye majina ya kiislamu who knows nothing about the morals and values of the religion, and the true muslims. Kuzaa na mkristu haimaanishi kuwa ni mkeo, huyo ni mzinzi mwenzio na huyo mtoto katika dini hatambuliki.
HUU NDIO UKWELI
Ahlul kitabu sasa hv hawapo kwani ahlul kitabu hawasemi kuwa yesu ni Mungu nw kuna washirikina
Mimi ni Muislamu na nashangazwa ninaposoma kuwa ninaishi katika Giza kwa kuwa nimeoa mwanamke na Dini hizo Tatu. Maisha yangu ni mazuri sana, mke wangu Ana Haki sawa. Guy udini upo kwenye nchi masikini tu. huwezi kusema inafuata Dini yako Wakati unakula RIBA, unampiga mke Wako au kumyima elimu mtoto Wako wa kike. Hao Ndio watu walio kwenye Giza Mpaka inapofika Ramadhan Ndio utamwona msikitini. Naomba Mtu ajitokeze na aseme anafata Sheria zote za Dini Yake. Kwa maoni yangu Dini na Maisha ya Kisasa , hasa ya nchi zilizoendelea, haziendi sambamba. Kama zikienda basi kila mwanamke angekuwa na watoto 20, msichana angekuwa na elimu, usingepokea riba benki, na wote tungelazimishwa Kuishi na Sheria za Dini Kama kanuni ya nchi. Mdini wa kweli ni Yule anayefuata Kila Sheria Sio Moja wala mbili. Wewe jaribu kumwambia mwanadada wa Leo arudi nyumbani saa unayotaka huko ulaya Kama hajakuacha, ujinga huu wa kusema mwanamume ndio mwenye Sauti zaidi nyumbani umepitwa na wakati,tuko Karne ya 21 sasa!
Mbona mm nimeowa mwisilam? Na'amebadilisha dini kwa sasa ni mkiristo mzuri sana ni mapatano tu
Naomba kufahamu , ni kwanini Waislam hawako tayari dada/mabinti zao kuolewa na Wkristo wakati wao wanaoa dada zetu(WAKRISTO) ,,
Taqfadhali maoni.
NO OFFENCE PLEASE.
Mimi ni Muislamu na nashangazwa ninaposoma kuwa ninaishi katika Giza kwa kuwa nimeoa mwanamke na Dini hizo Tatu. Maisha yangu ni mazuri sana, mke wangu Ana Haki sawa. Guy udini upo kwenye nchi masikini tu. huwezi kusema inafuata Dini yako Wakati unakula RIBA, unampiga mke Wako au kumyima elimu mtoto Wako wa kike. Hao Ndio watu walio kwenye Giza Mpaka inapofika Ramadhan Ndio utamwona msikitini. Naomba Mtu ajitokeze na aseme anafata Sheria zote za Dini Yake. Kwa maoni yangu Dini na Maisha ya Kisasa , hasa ya nchi zilizoendelea, haziendi sambamba. Kama zikienda basi kila mwanamke angekuwa na watoto 20, msichana angekuwa na elimu, usingepokea riba benki, na wote tungelazimishwa Kuishi na Sheria za Dini Kama kanuni ya nchi. Mdini wa kweli ni Yule anayefuata Kila Sheria Sio Moja wala mbili. Wewe jaribu kumwambia mwanadada wa Leo arudi nyumbani saa unayotaka huko ulaya Kama hajakuacha, ujinga huu wa kusema mwanamume ndio mwenye Sauti zaidi nyumbani umepitwa na wakati,tuko Karne ya 21 sasa!
KiIslaam hakuna ndoa hapo ni zinaa tu, huyo unaezini nae ni "pangu patupu" haelewi ndee wala sikio kuhusu Uislaam.
Nimepata hapa katika Quran Tukufu FaizaFoxy. Natoa link ili usome zaidi.TheReligionofPeace - Islam: A Woman is Worth Less than a ManHuo ujinga unausema wewe, hakuna mahala katika Uislaam paliposema "mwanaume ndio mwenye sauti zaidi nyumbani" sijui hilo umelitoa wapi?
Msifungwe nira na wasioamini. Biblia inasema wazi ktk kitabu cha Mathayo. Pia Yesu alitamka hadharani mchana kweupe kuwa Nuru na giza haviwezi kukaa pamoja. Sasa iweje mkristo ukaoe muislam? Me mpk naoa na kuruka ruka kwangu kote nilikuwa sigegedi wala kutongoza demu asiye wa dini yangu.
Nimepata hapa katika Quran Tukufu FaizaFoxy. Natoa link ili usome zaidi.TheReligionofPeace - Islam: A Woman is Worth Less than a Man
Waislamu wanaume wameruhusika kuowa Ahlul-kitabu maana yake ni (wakristo na mayahudi) hawa ni wanawake wema miongoni mwa waliopewa kitabuwalmuhswanatu mina ladhina uutulkitaba Mwanamke wa kiislamu haruhusiki kuolewana wakristo au mayahudi. Ni kwamba mwanamume awendiye mwenye mas-uliyah na nyumba na watoto, kwani kwa Hikma ya Allaah سبحانه وتعالى Amemfanya mume awe kiongozi wa nyumba kwa sababu itakuwa ni wepesikwake kumuongoza mkewe. Na inabidi Muislamu anapooa Ahlul-Kitaab ajitahidiawezavyo kumuongoza katika dini ya Uislamu. Lengo kubwa kwamuislamu kuowa wakristo ni kumuongoza katika njia iliyonyooka nayo nayo ni diniya kiiislamu. Mwanamke ni dhaifu na mwepesi hivo haruhusiki kuolewa na mayahusiau wakristo. Mpaka apo nadhani nimeleweka uzuri. Allah ndie anayejua zaid