Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Bora walimu wa serikalini wanakopesheka na wanapension za uhakika huku private wako hoi sana.Shule za private zinazowajali walimu wao kimaslahi ni za kuhesabu
 
Hawa watu Kuna mda huwa nawaza nasema sio kitu cha kawaida, yani hawana posho yoyote ile katikati ya mwenzi na mshahara wenyewe ni mdogo ivi wanaishijeee?

Mbaya zaidi wamekuwa watumwa kwenye kazi zao. Ni watu wa ndio tuu ndio mana Kila mtu mitaani anasema bora niwe bodaboda kuliko kuwa mwalimu, that means ualimu unadharaulika kwasababu hata maisha yao wanajamii tunayaona

Sasa ajabu ni kuwa, huwezi kukuta mwalimu anadai Haki yake, yani hata ukiwaambia Kuna mitihani ya mock njooni msaishe bure wote wanakubar eti wanaogopa kufukuzwa kazi ilihali inabidi wapewe posho 😂😂😂
Mwisho ni kuwa wamekuwa wanawaibia Chama flani kura kipindi cha uchaguzi, Chama hicho hicho ndokinawadharau hawa maticha.

View attachment 2951002
Walimu ni kenge , ni mijusi kafiri , mapunguani , goigoi etc
 
Mbona maticha wana maisha mazur kushinda wengi tu mtaan wana miliki nyumba magari viwanja ndani ya mda mfupi tu kwa tz hii ukimiliki gari na nyumba si ushamaliza mana kuwaza kuwa na makampuni n wachche tu ss walim wengi wana maisha mazur tu acha zako na ww
Walimu ni ma kenge tu hawana wanacho miliki.waivo ni wachache sana barakuda ww
 
Hawa watu Kuna mda huwa nawaza nasema sio kitu cha kawaida, yani hawana posho yoyote ile katikati ya mwenzi na mshahara wenyewe ni mdogo ivi wanaishijeee?

Mbaya zaidi wamekuwa watumwa kwenye kazi zao. Ni watu wa ndio tuu ndio mana Kila mtu mitaani anasema bora niwe bodaboda kuliko kuwa mwalimu, that means ualimu unadharaulika kwasababu hata maisha yao wanajamii tunayaona

Sasa ajabu ni kuwa, huwezi kukuta mwalimu anadai Haki yake, yani hata ukiwaambia Kuna mitihani ya mock njooni msaishe bure wote wanakubar eti wanaogopa kufukuzwa kazi ilihali inabidi wapewe posho 😂😂😂
Mwisho ni kuwa wamekuwa wanawaibia Chama flani kura kipindi cha uchaguzi, Chama hicho hicho ndokinawadharau hawa maticha.

View attachment 2951002
Usisahau mchango wa kuchukulia form ya urais pia ni wao wanachangishana.
 
Hawa watu Kuna mda huwa nawaza nasema sio kitu cha kawaida, yani hawana posho yoyote ile katikati ya mwenzi na mshahara wenyewe ni mdogo ivi wanaishijeee?

Mbaya zaidi wamekuwa watumwa kwenye kazi zao. Ni watu wa ndio tuu ndio mana Kila mtu mitaani anasema bora niwe bodaboda kuliko kuwa mwalimu, that means ualimu unadharaulika kwasababu hata maisha yao wanajamii tunayaona

Sasa ajabu ni kuwa, huwezi kukuta mwalimu anadai Haki yake, yani hata ukiwaambia Kuna mitihani ya mock njooni msaishe bure wote wanakubar eti wanaogopa kufukuzwa kazi ilihali inabidi wapewe posho 😂😂😂
Mwisho ni kuwa wamekuwa wanawaibia Chama flani kura kipindi cha uchaguzi, Chama hicho hicho ndokinawadharau hawa maticha.

View attachment 2951002
We ni nyumbu, lini nyumbu amekuwa na akili
 
Walimu wananunua pikipiki wanawapa Watu waendeshe kama bossboda.

Bodaboda wa bunda na walimu wa bunda,nani wa afadhali?
 
Najiuliza tu.. Nyie mnaotukana walimu matusi ya Kila aina Kwa kashfa na kebehi matoto yenu anayafundisha nani huko shuleni..?? Au hamjazaa bado..?? Mmefanya Nini kusaidia kumkwamua huyu mwalimu ikashindikana mpaka mkaanza kumchukia kiasi hiki..?? Napata jibu kuwa ni wapumbavu ambao hamuelewi chochote kuhusiana na mgawanyo wa kazi katika jamii.. Na kwa sababu jamii zetu zimekubali kuwa za kishenzi na washenzi kuonekana ndio watu wa maana Kwa sababu Wana pesa basi tutegemee jamii yetu kuzidi kuharibika.. Na kwa sababu hatuna akili hatulioni hilo.. Tutakuja kufumbua macho siku tutakapokosa walimu kabisa..
 
Mbaya zaidi wamekuwa watumwa kwenye kazi zao. Ni watu wa ndio tuu ndio mana Kila mtu mitaani anasema bora niwe bodaboda kuliko kuwa mwalimu, that means ualimu unadharaulika kwasababu hata maisha yao wanajamii tunayaona
Mimi nikuulize swali moja tu Mwl Mpwayungu: Hivi ni lazima Walimu wote wawe wanaccm?
Jambo pekee wanaloweza kujadili ni Vicoba na Upatu ukileta jambo la maana huoni hata moja
 
Najiuliza tu.. Nyie mnaotukana walimu matusi ya Kila aina Kwa kashfa na kebehi matoto yenu anayafundisha nani huko shuleni..?? Au hamjazaa bado..?? Mmefanya Nini kusaidia kumkwamua huyu mwalimu ikashindikana mpaka mkaanza kumchukia kiasi hiki..?? Napata jibu kuwa ni wapumbavu ambao hamuelewi chochote kuhusiana na mgawanyo wa kazi katika jamii.. Na kwa sababu jamii zetu zimekubali kuwa za kishenzi na washenzi kuonekana ndio watu wa maana Kwa sababu Wana pesa basi tutegemee jamii yetu kuzidi kuharibika.. Na kwa sababu hatuna akili hatulioni hilo.. Tutakuja kufumbua macho siku tutakapokosa walimu kabisa..
Ni utani tu sidhani kama wako serious kihivyo....Walimu ndio wametufikisha hapa hadi tuna comment
 
Post ya 2019 unaileta 2024 kweli? Kama wameshajengewa? Au umekurupuka mbio mbio kuleta uzi pasipo kusoma kwa kina hizo shots?
Amefanya hivi ili kuwajulisha mashabiki wake ya kwamba ameshatoka kifungoni. Na sasa yupo uraiani, na hivyo anaendelea pale alipoishia.
 
Back
Top Bottom