Maoni: Kutokana na ongezeku kubwa la walimu walioko mtaani, napendependekeze udahili wa idadi ya walimu wanaojiunga kusomea ualimu upunguzwe.

At Calvary

JF-Expert Member
Aug 22, 2018
4,513
3,554
Habari za wakati wakuu. Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa.

Nikienda kwenye mada. Ni maoni yangu kwamba kutokana na ongezeko kubwa la walimu mtaani. Naona iko haja kwa serikali na taasisi za elimu ya juu kupunguza idadi ya wanaodahiliwa kwenda kusomea ualimu.

Kwamba idadi ipunguzwe, mfano kama chuo kilikuwa kinachukua wanafunzi 1000 wapunguze mpaka 200. Hasa kwa walimu wa sanaa.

Pia kuwe na studies kufahamu demand halisi ya walimu. Wasomeshwe wanaohitajika na ziada kidogo sio lazima kila mtu asome.

Hii itapelekea kupeleka cream kwenye taaluma ya ualimu maana kutakuwa na competion ya kuwania hizo nafasi chache.

Hili likifanyika litaleteletezea faida zifuatazo.

1. Tutapata walimu ambao walifaulu vyema mitihani yao ya nyuma. Hivyo walimu vilaza watapungua.

2. Pia kutokana na hilo taaluma ya ualimu itaenda kuheshimishwa. Na ile mentality wanaosomea ualimu ni waliofeli itapungua japo ishaanza tayari kupungua.

3. Maslahi ya walimu yatapanda. Kwa sababu walimu wengi watakuwa wenye ufahamu mkubwa hivyo kuweza kudai haki zao.

4. Pia itapunguza lundo la walimu mtaani.


Na mengine mengi ya faida yatapatikana.


Usiku mwema.



At Calvary
 
.
20220129_083321.jpg
 
Sio fani ya ualimu peke yake, fani zote, wahitimu ni wengi, serikali kusomesha watu wote hao halafu wasiwe productive ni wastage ya kodi za watanzania, hio hela ingefaa kujenga vyuo vya ufundi vingi,watu wakajiajiri
 
Sio fani ya ualimu peke yake, fani zote, wahitimu ni wengi, serikali kusomesha watu wote hao halafu wasiwe productive ni wastage ya kodi za watanzania, hio hela ingefaa kujenga vyuo vya ufundi vingi,watu wakajiajiri
Shukrani umenena vyema.
 
Tatizo elimu yetu siasa nyingi, wanataka kila mwaka ufaulu uonekane umeongezeka, pia udahili umeongezeka

Mimi naona wangekuwa wanatumia mitihani konki o level na A level ili wafaulu wachache, Wengine wakaanze maisha ya kujiajiri mapema maisha
 
Tatizo elimu yetu siasa nyingi, wanataka kila mwaka ufaulu uonekane umeongezeka, pia udahili umeongezeka

Mimi naona wangekuwa wanatumia mitihani konki o level na A level ili wafaulu wachache, Wengine wakaanze maisha ya kujiajiri mapema maisha
kabisa, vitu vingine ni kupotezeana muda. Unakuta mtu anajutia degree yake tu. Maana haina msaada wowote
 
Habari za wakati wakuu. Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa.

Nikienda kwenye mada. Ni maoni yangu kwamba kutokana na ongezeko kubwa la walimu mtaani. Naona iko haja kwa serikali na taasisi za elimu ya juu kupunguza idadi ya wanaodahiliwa kwenda kusomea ualimu.

Kwamba idadi ipunguzwe, mfano kama chuo kilikuwa kinachukua wanafunzi 1000 wapunguze mpaka 200. Hasa kwa walimu wa sanaa.

Pia kuwe na studies kufahamu demand halisi ya walimu. Wasomeshwe wanaohitajika na ziada kidogo sio lazima kila mtu asome.

Hii itapelekea kupeleka cream kwenye taaluma ya ualimu maana kutakuwa na competion ya kuwania hizo nafasi chache.

Hili likifanyika litaleteletezea faida zifuatazo.

1. Tutapata walimu ambao walifaulu vyema mitihani yao ya nyuma. Hivyo walimu vilaza watapungua.

2. Pia kutokana na hilo taaluma ya ualimu itaenda kuheshimishwa. Na ile mentality wanaosomea ualimu ni waliofeli itapungua japo ishaanza tayari kupungua.

3. Maslahi ya walimu yatapanda. Kwa sababu walimu wengi watakuwa wenye ufahamu mkubwa hivyo kuweza kudai haki zao.

4. Pia itapunguza lundo la walimu mtaani.


Na mengine mengi ya faida yatapatikana.


Usiku mwema.



At Calvary
Wahitimu ni wachache sana ukilinganisha na mahitaji ya wananchi.

Lakini wahitimu ni wengi sana ukilinganisha na ajira zilizopo.

Hivyo solution sio kupunguza idadi ya wasomi bali solution ni kuajiri kwa wingi.

Shule zinataka waalimu ila ajira ndio shida,hivyo watu waendelee kusoma kama kawaida kwa sababu nchi bado inahitaji waalimu.
 
Wahitimu ni wachache sana ukilinganisha na mahitaji ya wananchi.

Lakini wahitimu ni wengi sana ukilinganisha na ajira zilizopo.

Hivyo solution sio kupunguza idadi ya wasomi bali solution ni kuajiri kwa wingi.

Shule zinataka waalimu ila ajira ndio shida,hivyo watu waendelee kusoma kama kawaida kwa sababu nchi bado inahitaji waalimu.
Kwa maoni yangu ni upotevu wa rasilimali na kupotezea watu muda. Bora wasomeshwe ambao asilimia kubwa wanaweza kuwa absorbed. Kama ikitokea pesa ikawapo wanaongeza udahili. Sio kusomesha watu then wanakuwa machinga. Bora waanze mapema kuliko kuenda baada ya kupotezewa muda.
 
Mimi naona vyuo viongezwe,bingo tuu,vijana wapewe mitaji wafungue miradi mbalimbali
 
Mimi naona vyuo viongezwe,bingo tuu,vijana wapewe mitaji wafungue miradi mbalimbali
Nalo neno. Nlikuwa nawaza one time. Mtu akimaliza chuo awe anapewa hata option ya kupata mkopo kama at least million tano pindi amalizapo chuo.

HIii ya wazazi kusaidia kujiajiri haiko sawa. Sio wote wako na uwezo wa kusaidia watoto wao kujiajiri.
 
Mm nashauri coz ambazo hazina soko ziachwe tu but waache kuwapa mikopo wanafunzi wanao opt hizo course

Waongeze kutoa mikopo kwa wanafunzi wanaosoma elimu ya kati hasa coz za ufundi kutoka veta,DIT and all technical collage

Unaweza ukashangaa watakao maliza form six this year 2022 wataomba kwenda kusoma course za elimu,fine arts,community dvpt and etc
 
Back
Top Bottom