Mleta uzi ameshakuambia kama wewe ni una matumizi mengi ya simu aka simu yako ni ofisi ametoa ushauri tumia angalau Samsum S21 itafaa.Unaweza kutaja hayo matumizi unayoyaita ya kikamilifu
Kwahio matumizi hayo ya kikamilifu ni simu kitumia kama ofisi, you think Sumsung A03 huwezi tumia kama ofisi au ofisi gani munazungumzia.Mleta uzi ameshakuambia kama wewe ni una matumizi mengi ya simu aka simu yako ni ofisi ametoa ushauri tumia angalau Samsum S21 itafaa.
Jifanyie tathimini mwenyewe kwenye simu yako kama unatumia kikamilifu au la, mbona simple tu
Kwahio matumizi hayo ya kikamilifu ni simu kitumia kama ofisi, you think Sumsung A03 huwezi tumia kama ofisi au ofisi gani munazungumzia.
Basically, hizo simu zoote hazing matumizi makuubwa mengine munayojaribu kuyasema matumizi ni yaleyale tu ku Store files (You need storage), to take picture (Camera nzuri atleast), Kuperuzi just internet.
Hao wanaonunua flagship matumizi ni hayohayo huwezi kunitajia matumizi mengine zaidi ya kutumia kwenye S24 Ultra utafosi tu.
Ulichoandika wewe ndio nilichoandika mie kwenye post namba 33, tena nikaanza Kwa statement JAPOKUWA MIE NI MLEVI WA SIMU ZA GHARAMA wakati mwingine watu wakienda dukani wanaangalia storage, camera na brand ANGALAU AONEKANE EXPENSIVE (point yangu ya msingi ilikuwa hapo kwenye herufi kubwa kwamba mtu ananua SIMU Kwa vigezo hivyo vingine na brand / model ya bei Kali ili mradi wa bei Kali wakati simu haitumii kikamilifu (nikimaanisha kununua simu ya gharama huku unatumia kutuma sms, kupiga na Whatsapp huku Kuna simu zingine za kawaida zinaweza kuku-offer hizo huduma ndipo nilimaanisha hawazitumii kikamilifu na unakuta mtu huyo tena anaweza akawa na bundle na bado akaja kukuuliza sungura Kwa kizungu anaitwaje huku ana bundle alafu ameshindwa kujishughulisha Kwa google au ku-download dictionary. Hapo ndio nilimaanisha ukamilifu wa simu yaani sio bei tu Bali other factors kama ram na mambo ka refresh rate etc (huo ulikuwa mfano tu wa watu wakienda dukani akionyeshwa camera, storage na brand Kali tayari kwake sawa huku Kuna vitu vingine unakuta unavipata sehemu nyingine.Kwahio matumizi hayo ya kikamilifu ni simu kitumia kama ofisi, you think Sumsung A03 huwezi tumia kama ofisi au ofisi gani munazungumzia.
Basically, hizo simu zoote hazing matumizi makuubwa mengine munayojaribu kuyasema matumizi ni yaleyale tu ku Store files (You need storage), to take picture (Camera nzuri atleast), Kuperuzi just internet.
Hao wanaonunua flagship matumizi ni hayohayo huwezi kunitajia matumizi mengine zaidi ya kutumia kwenye S24 Ultra utafosi tu.
S23 series model zote walitumia snaodragon worldwide...S24 ultra wanatumia Snaodragon worldwide kasoro s24 vanilla na plus versionMkuu , moja Samsung ananunua chip, google na apple wana design wao, nani hapo hayupo vizuri kwenye hardware. Hiyo samsung unayoletewa wewe Africa wala haina snapdragon chip, ina kale ka exynos chip ka kawaida kabisa.
Pili S24 series imenadi sifa zake mpya ambazo ni old school kwa sisi watu wa google tangu 2022 tunazo.
Tatu tukichukua s24 ultra na 15 pro max na pixel 8 pro, google inazidiwa na hizo simu kwenye portrait mode tu zaidi ya hapo hakuna wanachoweza.
Nne nikiri kwamba google bado hawaja optimize chip performance lakini 8GB RAM ya pixel ni sawa na 12GB au hata 16GB za TECNO NA hiyo HUAWEI YAKO.
Tano Iphone is just overpriced and overlooked, siku hizi unakuta na mtu na iphone 6 anakuvimbia mtu una tecno camon 20 premium akijiona yeye ndio ana simu ya bei.
Sita kwa nyinyi wabongo hamna haja ya kujua simu sana maana mnachezea tu hamna kazi nazo za msingi.
DISCLAIMER: This content is solely based on my personal opinion.
Moja kwa moja kwenye mada. Hizi flagships babalao ni Samsung pekee. Achana na series za Google pixel, iPhone, Redmi, etc... Samsung yuko vzr kotekote, hardware na software.
Iphone kwa ile classy feeling na touch wako vzr, ila kimatumizi simu zao zinakera sana, hazipo stable. Na hata charge ni mzigo, battery zao zina uwezo mdg ukilinganisha na corresponding flagships za brands nyingine. Labda kama hauna matumizi mengi ya simu, lkn kama wewe ofisi yako ni simu basi chukua samsung. Samsung s20 tu ina uwezo wa kuipiga mbali sana iphone 11.
Google pixel wanajitahidi kwenye software, ila hardware bado.
Kwangu Brand pekee inayoifuata samsung kwa ubora ni Huawei
Watu wa mkoani utawajua tu 😂 wao laini ya tigo ni kama mtandao wa ki-alienSijawahi kutumia samsung bado hawajanishawishi ,sawa na laini ya tigo sijawahi kutumia wala sina time nao..
Nipo google pixel kwa sasa.
@turudi pale raumadukaniHapo uliposema iphone kwenye charge ni mzigo naomba urudi dukani ukanue iphone matoleo ya karibuni utumie.
DISCLAIMER: This content is solely based on my personal opinion.
Moja kwa moja kwenye mada. Hizi flagships babalao ni Samsung pekee. Achana na series za Google pixel, iPhone, Redmi, etc... Samsung yuko vzr kotekote, hardware na software.
Iphone kwa ile classy feeling na touch wako vzr, ila kimatumizi simu zao zinakera sana, hazipo stable. Na hata charge ni mzigo, battery zao zina uwezo mdg ukilinganisha na corresponding flagships za brands nyingine. Labda kama hauna matumizi mengi ya simu, lkn kama wewe ofisi yako ni simu basi chukua samsung. Samsung s20 tu ina uwezo wa kuipiga mbali sana iphone 11.
Google pixel wanajitahidi kwenye software, ila hardware bado.
Kwangu Brand pekee inayoifuata samsung kwa ubora ni Hua
Mimi naikubali OnePlusDISCLAIMER: This content is solely based on my personal opinion.
Moja kwa moja kwenye mada. Hizi flagships babalao ni Samsung pekee. Achana na series za Google pixel, iPhone, Redmi, etc... Samsung yuko vzr kotekote, hardware na software.
Iphone kwa ile classy feeling na touch wako vzr, ila kimatumizi simu zao zinakera sana, hazipo stable. Na hata charge ni mzigo, battery zao zina uwezo mdg ukilinganisha na corresponding flagships za brands nyingine. Labda kama hauna matumizi mengi ya simu, lkn kama wewe ofisi yako ni simu basi chukua samsung. Samsung s20 tu ina uwezo wa kuipiga mbali sana iphone 11.
Google pixel wanajitahidi kwenye software, ila hardware bado.
Kwangu Brand pekee inayoifuata samsung kwa ubora ni Huawei
sio kweliRedmi wanajitahidi, tena hasa kwenye software lkn hardware bado, zinadepreciate haraka sana, yaan the more unavyotumia ndo inazidi kuzolota.
Samsung ana balance hardware na software
Kuwa na S24 UltraKwahio matumizi hayo ya kikamilifu ni simu kitumia kama ofisi, you think Sumsung A03 huwezi tumia kama ofisi au ofisi gani munazungumzia.
Basically, hizo simu zoote hazing matumizi makuubwa mengine munayojaribu kuyasema matumizi ni yaleyale tu ku Store files (You need storage), to take picture (Camera nzuri atleast), Kuperuzi just internet.
Hao wanaonunua flagship matumizi ni hayohayo huwezi kunitajia matumizi mengine zaidi ya kutumia kwenye S24 Ultra utafosi tu.
Na hii je?Hivi unajua hakuna brand ya simu yoyote duniani iliyouza mauzo mengi zaidi ya hizi mbili
Naona kachanganya kati ya founder na successor.Kukurekebisha founder wa iphone si tim cook, na tim cook kuwa shoga haku athiri ubora wa bidhaa za apple
For the record tim cook was hand picked kuongoza apple na steve jobs akiwa katika hali mbaya kitandani
Ukitaka vitu vizuri kubali kuumia japo maramoja mfuko utoboke ila ukishalipia utafurahia hadi ukome.Wajuvi .Kwa bajeti ya mtu ya 330k anaweza pata simu gani nzuri ambayo atleast inaweza sukuma video game ya 1gb kushuka chini na pia camera nzuri? Kuna kakijanaa ka ndugu yangu kanataka simu kwa bajeti hiyo. Ila isiwe infnx
Flagship ni ile toleo la simu ambalo linabeba jina la kampuni kwenye mauzo.Flashships ndio kitu gani wakuu ? mimi sielewi kitu.
Wewe simu unaitumia vipi productively?Hiyo namba sita ni ya muhimu sana japokuwa nina ugonjwa wa kununua simu zenye kuleta gumzo kwenye jamii hali ya uchumi inavyokuwa nzuri.
Ukitaka kulijua hilo kwamba watu hawazitumii simu kikamilifu, mtu akienda kununua simu anaangalia camera, storage na brand angalau aonekane wa bei ya juu kidogo Kwa ajili ya kujaza nyimbo na picha pamoja na asionekane mchovu Kwa kuwa na simu latest mengine hayahusu ila wachache sana wanazitumia simu kikamilifu