nadhani wazo hilo hakuwa nalo, anyway ila imemfanya kawa celebrity in his world
Kuna watu wana vichwa vigumu mkuu, fundisha fundisha na wewe ukiuliza swali jibu unalopata unachoka...
hahaha ndio hivyo, si unaone hapa JF kuna nyuzi kama tatu zinamuhusu...then kashapata airtime ya single yake Clouds...
Duh! watu wa namna yenu mnaumwa akili, na bahati mbaya sana hamjui kama mnaumwa na hivyo ni vigumu kwenu kupata matibabu muafaka "and in the end you are going to rape your own mother"Amesema kabila lake ni CHADEMA! Mbona hamuelewi jamani?
Si angemwandikia waziri wa elimu barua akamueleza mtazamo wake badala ya kuandika wimbo wakati anatakiwa kufanya hesabu?