NingaR
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 2,759
- 590
Ni kweli kaka, lakini kama akili zake ziko timam na malezi yangekuwa sahihi asingeandika "mistari" kwenye mtihani, angeonesha juhudi yake ya kujaribu kujibu kwa usahihi kwa kadri anavyoweza!
Amesha jaribu mpaka kachoka, kuna kipindi kinafika unasema mimi hili suala basi tena ila unalazimishwa!! sasa unategemea hapo nini kitatokea??