Maonesho ya kazi za kishirikina

Maonesho ya kazi za kishirikina

Yes. Uchawi, dini na jeshi wanaheshimiana.
Kwenye ulimwengu wa giza mtoto wa miaka 3 anaweza akamwambia we mama njoo chap, anakuja kwa sababu ana nguvu na mamlaka makubwa ( naweza akawa chifu au mfalme kiongozi)
Je ni kweli kuwa katika vilinge vyenye utiii wa hali ya juuu ni kwenye kilinge cha uchawi inafuata jeshini ni kweli Mshana Jr ??
 
Ni kweli kabisa... Na ukijaribu kuasi ama kuvuka mipaka yako hatua stahiki zinachukuliwa dhidi yako na kwenye ushirikina ni KiFO
Je ni kweli kuwa katika vilinge vyenye utiii wa hali ya juuu ni kwenye kilinge cha uchawi inafuata jeshini ni kweli Mshana Jr ??
 
Adhabu ya kawaida kabisa ni kifo
Itatokea nn kama ukagoma kuwa mtii kwenye kilinge cha kichawi??
Na nyingine ni kuchukuliwa mateka ukawe msukule kwenye vilinge vikubwa
 
Ni kweli kabisa... Na ukijaribu kuasi ama kuvuka mipaka yako hatua stahiki zinachukuliwa dhidi yako na kwenye ushirikina ni KiFO
How ukavuka mipaka leo kabla kifo hakijakukita hata kama adhabu ushapewa ukaamua kugeukia upande wa pili I mean kuokoka kwa wakristo??? Au kifo ni palepale kilingeni? Mshana Jr
 
Adhabu ya kawaida kabisa ni kifo
Na nyingine ni kuchukuliwa mateka ukawe msukule kwenye vilinge vikubwa
Kuwa msukule si mpaka ufe kwanza au kuna misukule ambayo inapelekwa kilingen bila kifo
 
Kwenye uchawi ni nadra sana kuwa na vikao vya maridhiano... Kule ni tit for tat
How ukavuka mipaka leo kabla kifo hakijakukita hata kama adhabu ushapewa ukaamua kugeukia upande wa pili I mean kuokoka kwa wakristo??? Au kifo ni palepale kilingeni? Mshana Jr
 
Kifo cha msukule ni sanaa ya kiinimacho... Kinachokufa ni kivuli nje ndio maana misukule hawana hicho kivuli... Rejea mada ya vivuli vitatu
Kuwa msukule si mpaka ufe kwanza au kuna misukule ambayo inapelekwa kilingen bila kifo
 
Kifo cha msukule ni sanaa ya kiinimacho... Kinachokufa ni kivuli nje ndio maana misukule hawana hicho kivuli... Rejea mada ya vivuli vitatu
Nataman siku nione msukule jua likiwa linawaka nijue kama hauna kivuli
 
Mkuu Mshana Jr hapa Mbezi roundabout ya Goba kuna jamaa kawasubirisha watu karibuni masaa 8 akiwaahidi kuwa atapaa live, kufika saa 1 jioni wamemgomea asiondoke mpk aonyeshe wanavopaa! Mm nliacha wanamtandika
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lini hiyo kaka... Ungenijusha mapema ningeenda
Mkuu Mshana Jr hapa Mbezi roundabout ya Goba kuna jamaa kawasubirisha watu karibuni masaa 8 akiwaahidi kuwa atapaa live, kufika saa 1 jioni wamemgomea asiondoke mpk aonyeshe wanavopaa! Mm nliacha wanamtandika
 
Back
Top Bottom