Ukute alienda kuomba dawa ya kufanya apendwe. Anaambiwa dawa lazima iingizwe ndani yake. Chezea kupendwa wewe!!!Hizo mbinu tu, ili ale tunda kimasikhala
Ukute alienda kuomba dawa ya kufanya apendwe. Anaambiwa dawa lazima iingizwe ndani yake. Chezea kupendwa wewe!!!Hizo mbinu tu, ili ale tunda kimasikhala
Huu Uzi mchana hata siuoni,Nauona usiku tu
Maxence Melo rekebisha taito tafadhali.
Ni Kishirikiana na sio kishikina.
Ukute alienda kuomba dawa ya kufanya apendwe. Anaambiwa dawa lazima iingizwe ndani yake. Chezea kupendwa wewe!!!
Nimekupata mkuu, ule tiba yetu ya chumvi imefanya hadi leo najutia maisha ingawa ilinisaidia. View attachment 1285571View attachment 1285572
Hiyo picha ya kwanza ni madhabahu ya kumbebesha mtu mizigo mizito
Iwe kazini
Iwe kwenye mahusiano
Iwe kwenye masomo na hata sanaa
Changamoto zinnakuwa hazikomi
Nimekupata mkuu, ile tiba yetu ya chumvi imefanya hadi leo najutia hay maisha ingawa ilinisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MUNGU AKUREHEMU MSHANA
Nimekupata mkuu, ule tiba yetu ya chumvi imefanya hadi leo najutia maisha ingawa ilinisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app