Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,614
- 59,742
Halafu watu wanasema wazungu sio wachawi..hivi karibuni nilipata mwaliko wa ulaya kwenda kuhudhuria tamasha la wachawi.... Muda ukanitenda
Haki ya Mungu wapo tena wanaamini sana ni cult
Hata psychic wengi tu na wanatabiri sana
Kuna kesi moja niliangalia jamaa kauwa kwa ajili ya wivu na ilijulikana kuwa walifanya kafara wakiwa watatu na landlord ndio alitoa ushahidi kwa kuwaona wakitambika usiku wa manane huku wakiwa vifua wazi na kuzunguka moto huku wakitaja jina la yule jamaa waliomuuwa mwishoni
Haya mambo yapo sana huku uzunguni nafikiri ndio yalipoanzia [emoji848][emoji848]