Duuuuh kwa hiyo konde pale kaigiza anavuja damu ndo kwamba kashakula kichwa tayri kinaoza huko??? Aiseeee tunafurahia kushoto kulia na baba lao kumbe tunashirik ibadaWasanii huingiza ibada za makafara katikati ya sanaa zao na huwa ni magizo maalum.. Wakati ukifurahia video kumbe unnashiriki ibada bila kujua
Kidogo tu[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124]Mkuuuu Mshana Jr hata hilo unaliweza...sema sh ngapi mimi siku uniambie niko wapi na nafanya nini tena bila kukupa detail. Hata moja zaid ya kujua hiyo username yangu
Ahaaaaaaaaa Mshana Jr AISEEE hapana nina watoto wawili tuuuu sasa hiyo damu nitaitaoa wapiBei ninayoongea sio shekeli za sarafu au makaratasi yaliyoandikwa pesa.... Ni damu mbichiKidogo tu[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124]View attachment 1286150
Kwa hio Mungu aliridhia kumpa huo ukuu wa anga hali akijua madhara atakayoenda kusababisha? Na vipi sasa bado nguvu yake inafanya kazi pamoja ujio wa mitume wa Mungu na manabii, kwa mfano wa Mohammad na Kristo?Kwakuwa kapewa ukuu wa anga na walio chini yake ni viumbe waliokosa ukamilifu na kupungukiwa na utukufu wa Mungu
Siti ya mbele nasubiria... Mshana Jr Ukiwa kilingen ni ishu gani uliwahi kutolewa knockout???Kwa hio Mungu aliridhia kumpa huo ukuu wa anga hali akijua madhara atakayoenda kusababisha? Na vipi sasa bado nguvu yake inafanya kazi pamoja ujio wa mitume wa Mungu na manabii, kwa mfano wa Mohammad na Kristo?
Ahaaaaaaa kumbe ukikatisha mipaka unawekwa kati...ebu ongezea nyama hapo mfano mipaka ipiBado sijawahi kuwekwa mtu kati kwakuwa nazingatia mipaka yangu [emoji23]
Mshana wewe mpaka sasa hivi ni mchawi au mganga au vyote?Bado sijawahi kuwekwa mtu kati kwakuwa nazingatia mipaka yangu [emoji23]