Maonesho ya kazi za kishirikina

Maonesho ya kazi za kishirikina

Siku moja anzisha uzi wa kisa chako hicho tupate funzo tukiwa tuna tembelea nchi za watu huko
Nikianzisha Uzi nitaedit na kutunga baadhi ya Mambo ili kuficha utambulisho na ikiwa hivi haitaleta ladha itakuwa Kama hadithi za shigongo
 
images (2).png
 
Ila ndugu yangu Mshana Jr haya mambo ya uchawi kiongozi wake inasemekana ni shetani kiumbe mmjawapo mdogo sana wa Mwenyezi Mungu.
Huu uwezo wa kuongoza mambo yote anayonasibishwa nayo aliupata wapi? Mbona ya Mungu na mitume wake ni kama yanachuka nafasi ya chini sana hali ya kuwa anauwezo mkubwa sana? Au tuseme hapendi kujimwambafai?
 
Kwakuwa kapewa ukuu wa anga na walio chini yake ni viumbe waliokosa ukamilifu na kupungukiwa na utukufu wa Mungu
Ila ndugu yangu Mshana Jr haya mambo ya uchawi kiongozi wake inasemekana ni shetani kiumbe mmjawapo mdogo sana wa Mwenyezi Mungu.
Huu uwezo wa kuongoza mambo yote anayonasibishwa nayo aliupata wapi? Mbona ya Mungu na mitume wake ni kama yanachuka nafasi ya chini sana hali ya kuwa anauwezo mkubwa sana? Au tuseme hapendi kujimwambafai?
 
Mtalaam mshana Jr inatosha sasa, Nahisi hapo ulipo upo kwenye screen yako unatuchora tu... Nambie mie nafanyaje mda huu?
 
[emoji848][emoji44][emoji23]una bei gani nikwambie
Mtalaam mshana Jr inatosha sasa, Nahisi hapo ulipo upo kwenye screen yako unatuchora tu... Nambie mie nafanyaje mda huu?
 
Back
Top Bottom