Wanao safisha nyota wanawala tu watu hela au?Time heals.. Kupona kwake ni kikomo cha kua (end of existence)
Wanao safisha nyota wanawala tu watu hela au?Time heals.. Kupona kwake ni kikomo cha kua (end of existence)
Ilikuwa line na yenye uchumvichumvi nilikuja kujua baada ya mwenyeji wangu kukamatwa na polisi namimi kuunganishwa kwenye kesi ya mauwaji sitaki kukumbuka hiyo Hali ndio maana namheshim Sana mshana maana anajua haya Mambo SanaRadha yake ipoje mkuu au inafanana na nyama gani kwa radha tulizozizoea
Ulijua baada ya muda gani kama umekula hiyo nyama?
Pole mkuu kesi ya mauaji halafu kwenye nchi ya watu sio mchezo kabisa ila hata hivyo kulikua na ushahidi gani kama umekula au ulikamatwa na nyamaIlikuwa line na yenye uchumvichumvi nilikuja kujua baada ya mwenyeji wangu kukamatwa na polisi namimi kuunganishwa kwenye kesi ya mauwaji sitaki kukumbuka hiyo Hali ndio maana namheshim Sana mshana maana anajua haya Mambo Sana
Pole mkuu kesi ya mauaji halafu kwenye nchi ya watu sio mchezo kabisa ila hata hivyo kulikua na ushahidi gani kama umekula au ulikamatwa na nyama
Natamani sana kujua kisa chako sio mchezo inaonekana nicha kusisimua mno na ulipitia kipindi kigumu sana
Mkuu acha kabisa itoshe tu kusema namshukuru mzee adadi rajabu nadhani ni mbunge wa Tanga au lushotoPole mkuu kesi ya mauaji halafu kwenye nchi ya watu sio mchezo kabisa ila hata hivyo kulikua na ushahidi gani kama umekula au ulikamatwa na nyama
Natamani sana kujua kisa chako sio mchezo inaonekana nicha kusisimua mno na ulipitia kipindi kigumu sana
Mshana jr atatusaidia kuweka links za haya mambo nahisi amewahi zungumzia hili
ON SERIOUS NOTE nyama ya mtu tamu sana... Kuna wakati huwa natamani kabisa kula tena [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124]
Nikweli nyama ya mtu ni tamu hasa upate ile ya ndani ambayo iko redish na Kama imechomwa vizuri inakuwa na rangi ya asali ila nilipogundua badae ni ya mtu nilitapika Sana NB Nivizuri kula ambayo imetoka kufa muda c mrefu ila iliyolala ni mbaya Sana haya Mambo ni mabaya Sana wengi wanaokula hawajui kwamba wanakula mtu na itakuwa vema usijue maisha yako yote maana ni very disturbing na haisahauliki kwa haraka.ON SERIOUS NOTE nyama ya mtu tamu sana... Kuna wakati huwa natamani kabisa kula tena [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124]
Siku moja anzisha uzi wa kisa chako hicho tupate funzo tukiwa tuna tembelea nchi za watu hukoMkuu acha kabisa itoshe tu kusema namshukuru mzee adadi rajabu nadhani ni mbunge wa Tanga au lushoto
Hiki kichwa sijui wameweka na pilipili ya mwendokasi
Ni kweli
Nikweli nyama ya mtu ni tamu hasa upate ile ya ndani ambayo iko redish na Kama imechomwa vizuri inakuwa na rangi ya asali ila nilipogundua badae ni ya mtu nilitapika Sana NB Nivizuri kula ambayo imetoka kufa muda c mrefu ila iliyolala ni mbaya Sana haya Mambo ni mabaya Sana wengi wanaokula hawajui kwamba wanakula mtu na itakuwa vema usijue maisha yako yote maana ni very disturbing na haisahauliki kwa haraka.
Daaaaah,kuna mazingira ya kawaida ambapo nchi kwetu hapa unaweza ukajikuta umekula nyama ya mtu?Ni kweli
Nikweli nyama ya mtu ni tamu hasa upate ile ya ndani ambayo iko redish na Kama imechomwa vizuri inakuwa na rangi ya asali ila nilipogundua badae ni ya mtu nilitapika Sana NB Nivizuri kula ambayo imetoka kufa muda c mrefu ila iliyolala ni mbaya Sana haya Mambo ni mabaya Sana wengi wanaokula hawajui kwamba wanakula mtu na itakuwa vema usijue maisha yako yote maana ni very disturbing na haisahauliki kwa haraka.