Ndio[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii picha ina uhusiano gani na video za daimond na harmonize?
Nahisi kuna sign uncoded codes nyingi sana amabazo zinatakiwa kuwekwa wazi.
Mungu atuhurumie
Amen amen mtumishi!Lala kwa imani ukiamini malaika mlinzi yuko zamu
Sasa ikiwa haina rivasi muathirika anaponaje au ana achana vipi na gunduHaya ni madhabahu ya kuzima nyota kutia nuksi na nafsi ya kukataliwa... Wengine wanaita gundu ama kimavi... Ni madhabahu /kilinge kibaya pengine kuliko vyote kwakuwa hakina rivasi...
Hawa ni ku Klux klan sio wachawi ni political hatred against africansSio waarabu hao bali wazungu
View attachment 1285736
Ushirikina ni kumfanya Jinni SheytwaniKwanza kaka,naomba unisaidie maana ya tamko "USHIRIKINA".
H
Hawa ni ku Klux klan sio wachawi ni political hatred against africans
Huyo Sheikh ana mke kweli?? Sasa hapo anamchungulia wapi mdada wa watu?? Baada ya hapo tuseme alimuomba ngoma au alimlaza chali tu. Nawaza tu Dah!! Kazi nyingine ni mateso tu
Ushirikina ni kumfanya Jinni Sheytwani
kuwa rafiki yako akakutatulia matatizo yako ukamuomba shida zako ukafungamana naye mikataba akutatulie shida zako za dunia
ni kumfanya JINNI sheytwan kuwa Mungu wako
Huyo Sheikh ana mke kweli?? Sasa hapo anamchungulia wapi mdada wa watu?? Baada ya hapo tuseme alimuomba ngoma au alimlaza chali tu. Nawaza tu Dah!! Kazi nyingine ni mateso tu
Hizo mbinu tu, ili ale tunda kimasikhalaHuyo Sheikh ana mke kweli?? Sasa hapo anamchungulia wapi mdada wa watu?? Baada ya hapo tuseme alimuomba ngoma au alimlaza chali tu. Nawaza tu Dah!! Kazi nyingine ni mateso tu
Radha yake ipoje mkuu au inafanana na nyama gani kwa radha tulizozizoeaMi nilishawahi kula nyama ya mtu Zimbabwe ila bila kujua ilikuwa ni nyama ya mbavu maeneo ya Bulawayo
Mkuu kwanza nasikia kwako na mimi sio mpenzi wa miziki na sifuatilii kabisa
Hebu funguka kidogo hapo Mkuu
Maana kama ni codes sijui