Katoka Tukuyu huko Masoko, amesali Ngemela, akahamia kwa Bhasisimikisi, hayo makanisa huku mjini hayapo hivyo anasali kakanisa fulani hapa jiraniMkuu bila shaka umeoa limbukeni la klokole kutoa Mbeya
Hongera sana anatamani amuoneNina mwaka wa nane wa ndoa na hakika nimekuwa ni mvumilivu Sana na mwaminifu Sana kwa ndoa yetu.
Nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya Kikristo yenye msimamo mkali wa kiimani, hivyo Basi sijawahi kuvuta sigara, kunywa Pombe na hata uzinzi sio mzinzi, mke wangu ni mwanamke pekee kulala naye tangu nizaliwe.
Kinachonikera kwa miaka yote hiyo mke wangu amekuwa akitamani Sana kumjua mwanamke ninaye tembea naye nje ya ndoa.
Mara ya Kwanza nikajua ananitania, Mara kwa Mara alikuwa ananiambia darling natamani nimjue mwanamke unayetembea naye, nione kanizidi nini?
Daima jibu langu Mimi nimeokoka siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yako.
Haniamini na haamini majibu yangu, simu zangu na e mails yeye ndiye huset password, ana access nazo muda wote.
Sasa kuanzia juzi Yuko kwenye maombi, anaomba aonyeshwe kwa namna yoyote mwanamke ninayetembea naye, maana anachojua yeye hamna mwanaume asiyechepuka.
Mbaya zaidi anaomba kwa kulia kwa sauti huku akipigapiga ukutani.
Hii comment yako haieleweki kama we ni ke hau meHa ha ha Mshana umesababisha nimecheka hapa kitandani asubhi mpaka naye huyu jamaa yangu kauliza unacheka nini nipe nisome meseji itakuwa imetoka kwa mchepuko nimempa asome ili naye aache kunisumbua na masala yao haya na wanachoudhi zaidi wanapeleka na hela kibao ya sadaka huko wanakotuombea tuwe waume bora eti tuache pombe na tusiwe na michepuko na wakati huu wa mechi za mpira za usiku yaani kabla hujarudi nyumba inakuwa imegeuzwa sinagogi duh duh
Mimi alikuwa anaomba eti niache pombe nikamwambia hiyo sala yako ikifanikiwa utakufa njaa na watoto hawataenda shule kwani kwenye pombe ndio natengeneza mipango ya pesa!
Na nikamwambia sala zako usiku sana ni kero nitakuwa siji mpaka umalize kwani unanikosesha usingizi .sali mapema au nenda kanisani.
Akafyata mkia kwani nilikuwa ikifika saa sita usiku nampigia kama bado anaendelea na kelele zake za maombi ili niendelee kupika stori sitaki kurudi nikute nyumba imebadirishwa kanisa
Mkundugu upo?kw-ani-ke-sha-a-cha-kwe-n-da-kwa-wa-ga-n-ga? ka-ma-u-li-vo-tu-e-le-za-m-k-u-un-du-gu-ye-tu?
Mimi alikuwa anaomba eti niache pombe nikamwambia hiyo sala yako ikifanikiwa utakufa njaa na watoto hawataenda shule kwani kwenye pombe ndio natengeneza mipango ya pesa!
Na nikamwambia sala zako usiku sana ni kero nitakuwa siji mpaka umalize kwani unanikosesha usingizi .sali mapema au nenda kanisani.
Akafyata mkia kwani nilikuwa ikifika saa sita usiku nampigia kama bado anaendelea na kelele zake za maombi ili niendelee kupika stori sitaki kurudi nikute nyumba imebadirishwa kanisa
nipo mkunduguyanguMkundugu upo?
AiseeeMimi alikuwa anaomba eti niache pombe nikamwambia hiyo sala yako ikifanikiwa utakufa njaa na watoto hawataenda shule kwani kwenye pombe ndio natengeneza mipango ya pesa!
Na nikamwambia sala zako usiku sana ni kero nitakuwa siji mpaka umalize kwani unanikosesha usingizi .sali mapema au nenda kanisani.
Akafyata mkia kwani nilikuwa ikifika saa sita usiku nampigia kama bado anaendelea na kelele zake za maombi ili niendelee kupika stori sitaki kurudi nikute nyumba imebadirishwa kanisa
Kwahiyo Mbeya Ndiyo kuna walokole limbukeni?Mkuu bila shaka umeoa limbukeni la klokole kutoa Mbeya
Mimi alikuwa anaomba eti niache pombe nikamwambia hiyo sala yako ikifanikiwa utakufa njaa na watoto hawataenda shule kwani kwenye pombe ndio natengeneza mipango ya pesa!
Na nikamwambia sala zako usiku sana ni kero nitakuwa siji mpaka umalize kwani unanikosesha usingizi .sali mapema au nenda kanisani.
Akafyata mkia kwani nilikuwa ikifika saa sita usiku nampigia kama bado anaendelea na kelele zake za maombi ili niendelee kupika stori sitaki kurudi nikute nyumba imebadirishwa kanisa
Ila Bujibuji hata sikuelewagi jamani, kwani yule mganga alishindwa kumuonyesha? Sasa hivi amehamia kwenye maombi. Kweli wifi yetu ni vuguvugu leo kwa mganga kesho anafunga maombiNina mwaka wa nane wa ndoa na hakika nimekuwa ni mvumilivu Sana na mwaminifu Sana kwa ndoa yetu.
Nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya Kikristo yenye msimamo mkali wa kiimani, hivyo Basi sijawahi kuvuta sigara, kunywa Pombe na hata uzinzi sio mzinzi, mke wangu ni mwanamke pekee kulala naye tangu nizaliwe.
Kinachonikera kwa miaka yote hiyo mke wangu amekuwa akitamani Sana kumjua mwanamke ninaye tembea naye nje ya ndoa.
Mara ya Kwanza nikajua ananitania, Mara kwa Mara alikuwa ananiambia darling natamani nimjue mwanamke unayetembea naye, nione kanizidi nini?
Daima jibu langu Mimi nimeokoka siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yako.
Haniamini na haamini majibu yangu, simu zangu na e mails yeye ndiye huset password, ana access nazo muda wote.
Sasa kuanzia juzi Yuko kwenye maombi, anaomba aonyeshwe kwa namna yoyote mwanamke ninayetembea naye, maana anachojua yeye hamna mwanaume asiyechepuka.
Mbaya zaidi anaomba kwa kulia kwa sauti huku akipigapiga ukutani.
Mashahidi wa Yehova hawapo mjini?Katoka Tukuyu huko Masoko, amesali Ngemela, akahamia kwa Bhasisimikisi, hayo makanisa huku mjini hayapo hivyo anasali kakanisa fulani hapa jirani
Asambwike, wapo lakini amegeuka imaniMashahidi wa Yehova hawapo mjini?
Mkeo kama yeye sio shetani, atakuwa amezaliwa na shetani!Nina mwaka wa nane wa ndoa na hakika nimekuwa ni mvumilivu Sana na mwaminifu Sana kwa ndoa yetu.
Nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya Kikristo yenye msimamo mkali wa kiimani, hivyo Basi sijawahi kuvuta sigara, kunywa Pombe na hata uzinzi sio mzinzi, mke wangu ni mwanamke pekee kulala naye tangu nizaliwe.
Kinachonikera kwa miaka yote hiyo mke wangu amekuwa akitamani Sana kumjua mwanamke ninaye tembea naye nje ya ndoa.
Mara ya Kwanza nikajua ananitania, Mara kwa Mara alikuwa ananiambia darling natamani nimjue mwanamke unayetembea naye, nione kanizidi nini?
Daima jibu langu Mimi nimeokoka siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yako.
Haniamini na haamini majibu yangu, simu zangu na e mails yeye ndiye huset password, ana access nazo muda wote.
Sasa kuanzia juzi Yuko kwenye maombi, anaomba aonyeshwe kwa namna yoyote mwanamke ninayetembea naye, maana anachojua yeye hamna mwanaume asiyechepuka.
Mbaya zaidi anaomba kwa kulia kwa sauti huku akipigapiga ukutani.
Ni kawaida ya wanawake, Wana maji ya upako, mafuta ya upako, chumvi ya upako, chupi ya upako kwa wanaotaka kuolewa au kupata watoto zaidi ya hayo yote, unawakuta wamejipanga mstari kwa Mshana JrIla Bujibuji hata sikuelewagi jamani, kwani yule mganga alishindwa kumuonyesha? Sasa hivi amehamia kwenye maombi. Kweli wifi yetu ni vuguvugu leo kwa mganga kesho anafunga maombi
Mwonyeshe tu huyo mwanamke ili aridhike sasa unamficha nini
Jinga weweitakuwa ana kijipepo kidogo dogo kinamsumbua,anza naww kumuombea
akipiga ukuta ww piga kabati kwa maombi...hakuna jambo linashindikana asee......ni kuombeana tuu.
Pale juu ulisema kwamba huko Hakuna hayo makanisaAsambwike, wapo lakini amegeuka imani
Jehovah witness na jumba lao la wafalme wako mbali Sana ndio maana alisambukaPale juu ulisema kwamba huko Hakuna hayo makanisa