Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 13,351
- 38,125
Mungu baba , Muumba mbingu na ardhi. Unayetujua sisi sote, mwenye nguvu na mamlaka yote.
Ninaomba toba na rehema kwaajili ya Tanzania na Watanzania.
Mungu tusamehe pale tulipochukiana na tukasahau Utanzania wetu kwasababu za kisiasa, kidini, kikabila na hata kwasababu za kipato.
Mungu ninaomba kutoka moyoni, utupe mioyo yenye kukuogopa wewe, na tujue kuwa wewe uko kila mahali, unaweza kila jambo na unayajua mambo yote hata yale tuliyoyashikilia sirini.
Eeeehhh Mungu ninaomba utupe moyo safi kama Watanzania na uzikemee roho zetu zinapotamani kuinuka huu yetu.
Ikiwa kuna Mtanzania yeyote alimwaga damu ya Mtanzania mwenzake(ndugu) eeehhh Mungu umkumbushe kutubu usiku huu, naye akitubu msamehe, naye akifanya moyo mgumu mvune haraka kwa mkono wako.
Amina.
Ninaomba toba na rehema kwaajili ya Tanzania na Watanzania.
Mungu tusamehe pale tulipochukiana na tukasahau Utanzania wetu kwasababu za kisiasa, kidini, kikabila na hata kwasababu za kipato.
Mungu ninaomba kutoka moyoni, utupe mioyo yenye kukuogopa wewe, na tujue kuwa wewe uko kila mahali, unaweza kila jambo na unayajua mambo yote hata yale tuliyoyashikilia sirini.
Eeeehhh Mungu ninaomba utupe moyo safi kama Watanzania na uzikemee roho zetu zinapotamani kuinuka huu yetu.
Ikiwa kuna Mtanzania yeyote alimwaga damu ya Mtanzania mwenzake(ndugu) eeehhh Mungu umkumbushe kutubu usiku huu, naye akitubu msamehe, naye akifanya moyo mgumu mvune haraka kwa mkono wako.
Amina.