mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Ni hoja ambayo imegeuzwa na Wanasiasa kama mtaji wa kisiasa na huenda ikatumika kama agenda kuu katika kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka huu. Kuna dalili ya kuelekea huko kutokana na jinsi Wanasiasa wanavyotafsiri taarifa ya Benki ya Dunia kuitambua Tanzania kama moja ya nchi yenye Kipato cha Kati.
Labda WanaJF mtasaidia kujibu swali langu hili, Je, wapiga kura, wengi wao (70%) wanaishi vijijini, watapenda kusikia nini kutoka kwa Wagombea, ili waridhie kuwapa kura yao?
UPDATE
Hatimaye wananchi wapenda maendeleo, kwa maana ya "VITU", wamethitisha hilo kwenye sanduku la kura.
Labda WanaJF mtasaidia kujibu swali langu hili, Je, wapiga kura, wengi wao (70%) wanaishi vijijini, watapenda kusikia nini kutoka kwa Wagombea, ili waridhie kuwapa kura yao?
UPDATE
Hatimaye wananchi wapenda maendeleo, kwa maana ya "VITU", wamethitisha hilo kwenye sanduku la kura.