Ilikuwa ki chitchat tu au mlikuwa wapenz hata nje ya chtchat?
Babaake @52 kun'nini tena hapa?
Nawaskia kutiana! Mwatiana nini usiku huu?
Nway nisiwarushe kwanza tianeni mkimaliza utaniskumia mtasali (muhtasari)
ukachokonoe ndoa ya watu?.. Bishanga anweza kukufanya kitu mbaya nahisi[/QUOTE Bishanga yuko na The secretary nao ndoa yao iko mashakani
Ahahaa hii ndoa ina gravitational force at which the point is at the centre Bishanga pata hiyo tulishavuka mabonde na milimaa vikwazo vingi tulisimama hima walishazushaa vingi vioja asali wangu wa moyo hatupo pamojaa cc: Erickb52, sosoliso , nitonye
Lakini mbona sioni sahihi ya manoah? U single utauweza? Nakushauri uanze kutafuta au ukaribishe maombi mapya!
Me na my akanana Passion Lady ndio kama tumeanza sasa hivi
Daaa where is my Passion Lady
Objectioooooooooon!