Manoah na Mimisa:Hakuna mapenzi tena

Manoah na Mimisa:Hakuna mapenzi tena

Status
Not open for further replies.
Wallah leo lazima nikununulie Voucher Mpwa wangu...sio vocha ya simu ni voucher ya pembejeo za kilimo

nitashukuru mpwa Elli.. ila fanya mpango tubadilishiwe yule ofisa ugani.. maana anakula voucher zenyewe yeye.. nyingine anakuja kuziuza mjini anajidai ati ni voucher za cimu..
 
Last edited by a moderator:
Bishanga and me for life

Ole wako uniache The secretary,siku hiyo ntafakamia mkorogo wa flagyl,safari lager,sumu ya panya,kimpunyu,nyongo ya mamba na thiodan kisha tuone utapata wapi mwingine kama Bishanga.
Kopi: Kongosho........niandalie hii concoction naona C.T.U anaingilia anga zangu kisa kanunua kiwanja dubai.
 
Last edited by a moderator:
Ole wako uniache The secretary,siku hiyo ntafakamia mkorogo wa flagyl,safari lager,sumu ya panya,kimpunyu,nyongo ya mamba na thiodan kisha tuone utapata wapi mwingine kama Bishanga.
Kopi: Kongosho........niandalie hii concoction naona C.T.U anaingilia anga zangu kisa kanunua kiwanja dubai.

hiyo ya mtoto acid ndo mpango mzima
 
Last edited by a moderator:
Ole wako uniache The secretary,siku hiyo ntafakamia mkorogo wa flagyl,safari lager,sumu ya panya,kimpunyu,nyongo ya mamba na thiodan kisha tuone utapata wapi mwingine kama Bishanga.
Kopi: Kongosho........niandalie hii concoction naona C.T.U anaingilia anga zangu kisa kanunua kiwanja dubai.

ha ha ha.. mkwala mbuzi huo Bishanga..
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom