Manji atakiwa kuripoti Ofisi za Mamlaka ya Uhamiaji. Pasi 126 za kusafiria zakamatwa ofisini kwake

Kwa nini wasiite Quality Group kama walivyofanya GBP.SEA CLIFF.....................This is bad kukomaa na mtu badala ya taasisi
 
MAPONJORO WOTE WATAKIMBIA NCHI.

SASA KAMA TUNATAKA TANZANIA YA VIWANDA, WA KUVIJENGA SI WATU KALIBA YA MANJI???????? LETS BE SERIOUS BWANA. HELA YA KUJENGA VIWANJA HAKUNA NA WENYE MITAJI TUNAWA-HARASS, WATAKIMBILIA KWA WENZETU KAMA MAKABURU WA ZIMBABWE WALIVYOFANYA THEN MAJUTO YATAKUWA MJUKUU.
 
I understand where you are coming from...

Hatujawai kuona tajiri akilala lupango tena kwenye makosa ambayo yanawahusisha maskini pia. Hii hata Makonda ameiongolea kwamba kupindi cha nyuma matajiri walikuwa wanapigiwa simu waende kituoni kuyamaliza kimya kimya!

Kwa sababu hatujazoea kuona haya ndio tunaanza kufikiria mambo mbali mbali, "ana andamwa". Lakini mpaka mwisho wa awamu ya Magufuli tutakuwa tumeshazoea kuona tajiri na maskini kwenye mikono ya sheria wana shungulikiwa sawa!
nikiona chenge jk rizwan wamiliki wa meremeta lugumi nk wapo lupango ndo nitaona tofauti ya magufuli .............. otherwise figisu tu
 
Kutoka hapo Quality centre panden juu kidogo mpaka TAZARA pale kwenye mradi wa flyover mtawakuta wafilipino wa kutosha ambao hawana vibali vya kufanya kazi
 
Hapo anashtakiwa manji au kampuni ya quality group ? Nini maana ya shareholder ? Nini maana ya business entity ? Hivi tunafanyaje kazi nchi hii ?
 
Kama ana makosa sheria ichukuwe mkondo wake siyo afanye makosa kwa kisingizio cha uwekazaji. China hata ukiwa na ukwasi uliopitiliza lakini ukipatikana na kosa la rushwa lazima unyongwe sisi huku ukiwa tajiri hata kama umefanya makosa yaliyowazi utatetewa na watu wengi wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa kwa kujipendekeza kwako na hii inatokana na umaskini tulionao.

Utakufa Maskini Kwa Roho Mbaya Wewe Kwa Fikra Zako Manji Anahusika Vipi Na Wajiriwa Wa Quality Mpaka Awekwe Ndani
 

Attachments

  • 201604191443 - Copy.pdf
    1.2 MB · Views: 21
sawa so hapa ni kwamba hawana vibali vya kuishi tz waje hata ofisini kwetu wapo kibao wanajifanya wahindi wa kariakoo kumbe wa hukoo bombay
Si vibali vya kuishi Tanzania mkuu,bali ni vibali vya kufanya kazi Tanzania.Tofautisha Resident permit na Work permit.
Ili upate work permit Ni lazima uwe na resident permit.So Hawa hawana work permit but sio resident permits!!!
 
Tufukuze wafanyabiashara ili tubakie sisi na rasilimali zetu.Hii ni nchi ya wakulima na wafanyakazi plus machinga
 
Si vibali vya kuishi Tanzania mkuu,bali ni vibali vya kufanya kazi Tanzania.Tofautisha Resident permit na Work permit.
Ili upate work permit Ni lazima uwe na resident permit.So Hawa hawana work permit but Sana resident permits!!!
yap nilikuwa namaanisha hivyo sorry
 
Hii nchi tunakoelekea sio kuzuri, kuiendesha nchi kwa chuki ni dhambi kubwa sana, Manji ni mtu aliyetoa ajira kwa maelfu ya watanzania leo hii anapoanza kunyanyaswa na kujaribu kufilisiwa ni wapi watapata kipato hao maelfu ya waajiriwa? ni wapi serikali itapata kodi ya mapato? hizi siasa za chuki zina laana mbele yake
Kwa hiyo km ana makosa asishtakiwe??embu fafanua,halafu mseme serikali imemuogopa,watz bn,ifike muda sasa mjitambue,akishashtakiwa kwani ndio mwisho wa maisha?si atarekebisha mapungufu ili aajiri watu kihali,sasa yeye km mtu ana utajiri wote huo why aajiri watu kinyume na sheria?kisa ana pesa?eboooo ashtakiwe mengine yatafuata.
 
Nadhani mnapaswa kuenenda kwa hekima katika hili..Nakumbuka Yusuph Manji alishaachia ngazi kama Mkurugenzi Mtendaji wa Quality Group..

Yawezekana kukawa na makandokando lakini hekima,busara na maridhiano ni siraha ya mafanikio.Kama taifa changa mchango wa kila mmoja mwenye fikra chanya ama mchango kimkakati katika maendeleo ya nchi wahitajika.

Makampuni mengi ya watanzania wenye asili ya kiasia yanatumia wanaoitwa experts..toka katika mataifa ya India,Bangladesh,Nepal na Pakistani..wengi wao hawana sifa ya kuitwa experts lakini mamlaka zetu kwa makusudi au kupumbazwa zimekuwa zikiwapa vibali...
 
sasa wanataka kumkimbiza tz huyo mhindi, kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza
kabla ya kumkimbiza waangalie kampuni zake hizo 23 zinachangia kodi kiasi gan alafu wafanye busara kati ya kumkomoa au kumuacha na nchi ineemeke kwa kuchukua kodi kutoka kwenye makampuni yake.
 
This is too much jamani!
Nchi yenyewe masikini hii tajiri mwema kama Manji aliyetoa ajira kwa maelfu ya Watanzania ananyanyaswa sababu ya chuki za kisiasa.

Kwenye madawa mmekosa la kumtia hatiani mmehamia kwenye passport,soon mtafikia lile lengo lenu la kunduchi beach.
Time will tell...
Usishangae dadaangu sasa tunafuata siasa ya bush mtoto, aliposema, kama haupo na mimi you are against me. hakuna kingine katikati.
 
Waje NIDA, kiwanda cha khanga wapakistan kibao tunakula nao miogo uswahilini.
wahivyo wapo wengi saaaana wachina na wahindi wengi wanaishi kinyume cha sheria wengi tuu yaani hapa ofisini kwetu miez 6 iliyopita ilikuwa kasheshe walikamatwa NA WALIRUDISHWA MAKWAO BAADA YA KAMPUNI KULIPA MAPESA KIBAO MILION 100 NA USHEE
 
Hivi hao watu wameajiriwa na manji au na quality group? Mbona wanamtarget manji? Kuna nini hapa? Na je Manji si alishaachia ngazi quality group? Sishabikii watu kuishi nchini bila vibali ila naangalia tu aproach ya hili suala... Nakumbuka kusoma mwaka jana au juzi manji akijiondoa uongozi quality group
 
EWGM'sJF-Expert Member
[HASHTAG]#261[/HASHTAG]
5 minutes ago

New

Kabla hujaanza kuuliza hayo masuala jiulize Kwanza unaemuuliza ni nani immigration na wewe ni nani immigration

ana elimu gani kwenye immigration na wewe una elimu gani kwenye immigration,

ana cheo gani immigration na wewe una cheo gani immigration,

kazi kaanza lini immigration na wewe kazi ulianza lini immigration.

Ukishapata majibu ya hayo maswali ndio uulize sasa maswali yako.
Kwa ulichokiandika acha ajira zibanwe tu .. Kiumbe kama wewe kupewa kodi za watanzania kama mshahara nikuliingizia taifa hasara
 
Tumekuelewa ila sidhani kama kwenye hili anakesi ya kujibu. Nafikiri ungeshughulika na Wakurugenzi pamoja na maofisa uajiri wa hiyo Kampuni ili uwaulize ni vipi watu hao wanafanya kazi bila vibali. Kwamfano kunawachezaji mpira ambao walikuwa wanacheza mpira bila vibali je ni busara kwenda kumkamata mwenyekiti wa Timu? Kesi nyingi serikali inashindwa kwa kutojipanga vizuri ukizingatia watu kama hao wana mawakili wabobezi ambao sio rahisi kuwa mudu. Mfano mzuri ni juzi kesi ya Lissu, hivi katika hali ya kawaida mwendesha mashtaka wa serikali anaweza asijue MATAKWA YA KIAPO? walifika mahakamani kiapo hakina jina la mwenye kiapo!!!!! hakimu hakuwa na la kufanya Tindu Lissu akatoka, Kamishna una muda mzuri wa kujipanga. Halafu inaeleweka wazi kuna watu wengi wanafanya kazi Tanzania bila vibali sasa kama ni mkakati basi usiishie kwenye waajiriwa wa manji muende mbali zaidi.
Ni kweli Manji "stepped down" I think last year
 
Back
Top Bottom