Msako wa Wgeni wasioluwa na vibali nchini usiishiea kwa Mnji tu hata Makanisani hasa kwa vigori(watawa)kutoka Goa India/Philippines.Shughuli zao zinaweza kufanywa na waumini wa kitanzania.wageni wasio na vibal
Sijui kosa lake hasa ni lipi? Manji ndio mkosaji au Serikali ndio wakosaji? Kama walikoseana mahali kwanini wasimalizane tu? ili kuokoa kampuni za Quality group zilizoajiri mamia ya watanzania wanaotegemea kulipa kodi za kuendesha nchi ...Maskini wanaamini wanaweza kuwa Matajiri kwa Tajiri kuwa kama wao.....
HahaaaaaMsako wa Wgeni wasioluwa na vibali nchini usiishiea kwa Mnji tu hata Makanisani hasa kwa vigori(watawa)kutoka Goa India/Philippines.Shughuli zao zinaweza kufanywa na waumini wa kitanzania.
wazawa tumeanzisha viwanda vingapi?na wafukuzwe kazi dadadeki, wazawa kibao kazi zinaenda kwa wahindi, daah, ila hapa connection na uhamiaji ipo wasije jikuta kitu kinawaback fire
Kwani kuna Passport fake zimekamatwa?Kwani hizo passport fake zilikutwa nyumbani kwao au ofisini kwake?
Zamani walikuwa wapi? mtindo huu wa kutengeneza makosa aka kula deal pamoja na "watawala" halafu mkizenguana mnaanza kulana vichwa ukome kabisa. Kama kuna makes ya kiutendaji yanatokea huko nyuma hii inamanisha serikali ama mamlaka inajua. Tumechoka kupotezeana muda. FIX IT.
we vipi?Kuna mtu alienda kupekuliwa kesi ya wizi wa kuaminika akaukutwa na bunduki mbili zisizo na kibali.Tatizo huzaa tatizo mkuuZamani walikuwa wapi? mtindo huu wa kutengeneza makosa aka kula deal pamoja na "watawala" halafu mkizenguana mnaanza kulana vichwa ukome kabisa. Kama kuna makes ya kiutendaji yanatokea huko nyuma hii inamanisha serikali ama mamlaka inajua. Tumechoka kupotezeana muda. FIX IT.
Kwanza Ningekuuliza Unayo Passport Na Kama Ulipata Fursa Ya Kuisoma Maelezo Yaliyomo Kwenye Passport
Ndiyo Ungeniuliza hayo Maswali Yako, Kila Nchi Ina Passport Zake Na Security Details Zake Kwenye Printing, Inks, Watermarks And Holograms
Na Verification Inafanyika Na Immigration Husika Huyu Immigration Wa Posta Anayajuaje Ya India Au Uko Passport Zilipotoka?
So Kwasababu Kasema Mtu Wa Immigration Basi Kila Anachosema Ni Kweli Usiwe Na Ujinga Wa Kiasi Hiko
Rostam wapii jamaniNilijua tu lazima manji ateswe sana ila manji hama nchi ..
Wache ccm wanajuwana hao muda wote uhamiaji wapo wapi wasijuwe kuwa kunawafanyakazi wanafanya kazi bila vibali na wao watumbuliwe hakuna namnaHivi huyo wanamnyanysa kwa siasa zipi hasa.......si MUCCM mwenzao huyo?.......au ndio msemo wa GWAJIMA..........NI WIVU TU.
Sasa afisa uhamiaji anakwambia hapa tunataka kumkamata Manji bahati mbaya wameambiwa amelazwa hospitali.Hapo anayetakiwa kujibu mashtaka ni Quality group of companies sio ishu ya mtu binafsi hiyo.... japo sijui makosa yake ila kwa hili sheria itambeba Manji.
UHAMIAJI WAKAMATA PASSPORT 126 QUALITY GROUP.
Upepo Mchafu Wazidi Kumuandama Manji, Baada ya Sakata la Madawa ya Kulevya kumuandama mpaka kufikia kulazwa Hospitalini, Uhamiaji nao wamekuja na Mpya baada ya kukamata Passport 126 ofisini kwake za watu kutoka nje ambao wanafanya kazi kwenye kampuni yake bila vibali vya uhamiaji....
John Msumule ambaye ni Afisa Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam amesema, hii Kampuni ya Quality Group ipo katika jengo la Quality Center Barabara ya Nyerere kama unaelekea Uwanja wa ndege wa JNIA ni mkono wa kushoto. tumefanya kazi Ijumaa baada ya kuwekwa tu ndani yaani kesho yake jumamosi, tukapata Passport 126, Hizi ndizo zenye makosa. Tumechambua, passport 25 hawana vibali vya kufanya kazi, kwahiyo wanafanya kazi kinyume na utaratibu. Wote hawa hatua zitachukuliwa na watapelekwa Mahakamani.
Lakini lazima niseme ukweli, hawa hawatapelekwa peke yao mahakamani, lazima Yusuf Manji ambaye ndiye mwajiri wa watu hawa ambaye ndiye Mmliki wa Kampuni hii lazima afikishwe mahakamani kujibu shitaka la kuajiri watu wageni wasio na vibali. Jana tulikuwa tumkamate alale mahabusu na leo ndio tumpeleke Mahakamani, Bahati mbaya tulipokwenda kumkamata, tukaapewa taarifa kwamba amelazwa Hospitalini hadi sasa.
Mara tu atokapo, aliport ofisi hii ili tumuunganishwe kwenye kesi hii ya kuajiri watu wasio na vibali. Hatutajali ukubwa wa hela yako, hatutajali cheo chako cha mahali popote pale, hatutajali kwa njia yoyote ile una mamlaka gani katika nchi ya Tanzania.
Utakamatwa, utawekwa ndani, utajibu mashitaka.