Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,665
Jiulize kwanza wewe kama haya uliyoandika kama yana "ethics". Au umedhani walimu hawatajui maana ya ethics?
Eti ethic...........! Ethic mwenyewe...............!!!!!!!!!!1
khe...!
Jiulize kwanza wewe kama haya uliyoandika kama yana "ethics". Au umedhani walimu hawatajui maana ya ethics?
Eti ethic...........! Ethic mwenyewe...............!!!!!!!!!!1
kumbe anamaanisha za serikali!? yeye aliandika kuwa shule za manispaa ya kinondoni zipatzo 17...... nilidhani shule zilizomo katika manispaa ya kinondoni.
nashauri mtu akiandisha thread awe amejipanga vizuri akiwa na ushahid wa kutosha na aandike lugha inayoeleweka.
tuko pamoja!