Manispaa ya Kinondoni yapata 'Division one' tano tu!

Manispaa ya Kinondoni yapata 'Division one' tano tu!

Ni waziri yupi yule kilaza wa enzi ya Mkapa-Mungai Joseph nadhani, aliyefuta somo la kilimo skuli na huku akifahamu kuwa kilimo ndiyo uti wa mgongo wa taifa hili na wawekezaji wengi wanakuja kuwekeza kwenye kilimo.
Je huyu naye si anawajibika? awajibishwe hata kama yu kaburini kwa kutunyima maelfu ya Wanafunzi ajira wakati ujao? Hili nalo litakuwa fundisho kwa
maccm.

Lile somo was just waste of time and money,halijamsaidia mwanafunzi yeyote au taifa ni bora walipolifuta
 
Watano tu! wilaya nzima! ama kweli siasa mchezo mchafu!.tunaomba uthibitisho wa 100% na unachosema kuliko siasa zaidi.
 
Hapa tunazungumzia shule za serikali zilizopo chini ya manispaa ya kinondoni!magamba akili fupi sana!fedha ni shule ya manispaa!?
Si mnaona mlivyo madhaifu sasa kwa nini asingesomeka tangu mwanzo kuwa shule zinazoongozwa na manispaa zimefanya vibaya, mjifunze kuandika ili mueleweke kwa wananchi mnaowaomba kula lakini mkishika nyinyi hatamu ya uongozi sijui kama mtayaweza, labda muombe viongozi kutoka ccm.

 
Uongo mtupu, ninaifahamu shule moja ambayo ina division one zaidi ya 10 !!!!!

Na wewe ni mbwiga tuu ujui lolote feza ni shule ya kata ya amesema shule za kata kinondoni.hata sio mbaya iddi azan naye alishia form 4 div 4 ya 34.
 
Inasemekana kuwa Div 1 - 2 ni watoto wa walimu, ziro ni za watoto wa vigogo wa CCM na POLISI
 
CHADEMA wangejaribu ku-break down kwa kila jimbo ili wabunge wa CCM waone madhara ya ndiyo zao bungeni. Kawambwa bado yuko ofisini anacheka. Kama Chami, Mkulo na Omar Nundu waliondolewa kwa sababu za kiutendaji, kwa nini Kawambwa abaki wakati generation inageuzwa mbumbumbu? 94% wamefeli, bado wana matumaini na Waziri kuwa ana jipya?

Ivi unajua Kawambwa na Vasco da Gama wana uhusiano gani nje ya serikali?anaweza kumsummon Pinda au Magufuri lkn sio Kawambwa, amini amini nawaambia lazima amalize naye.
 
Kufeli kwa watoto wetu kwanza tuweke pembeni itikadi zetu. serikali inabeba sehemu tu ya lawama hizo wengine ni:-

1.Waalimu
2. wanafunzi
3. wazazi
4. jamii

Angalia shule binafsi na zile za seminary zinazong'ara kila mwaka zimefanya vibaya.

kuna tatizo kubwa kwenye sekta ya elimu zaidi ya kuilaumu serikali peke yake tunaweza tusipate jawabu la kudumu.
 
Kufeli kwa watoto wetu kwanza tuweke pembeni itikadi zetu. serikali inabeba sehemu tu ya lawama hizo wengine ni:-

1.Waalimu
2. wanafunzi
3. wazazi
4. jamii

Angalia shule binafsi na zile za seminary zinazong'ara kila mwaka zimefanya vibaya.

kuna tatizo kubwa kwenye sekta ya elimu zaidi ya kuilaumu serikali peke yake tunaweza tusipate jawabu la kudumu.

Vitu vyote ulivyotaja vimekuwepo siku zote, na hata serikali imekuwapo siku zote. Iweje sasa ndio matokeo yawe tofauti? Na kwanini serikali ilihaidi ufaulu kwa 70%? Ilitumia vigezo gani kutoa hizo ahadi?

Pili, mwanafunzi anaingia kidato cha kwanza hajui kusoma na kuandika, alifaulu vipi? Halafu useme, shule hazina walimu, au shule moja ina waalim 3 (shule nzima) watoto watafulu kwa nguvu za Prof Maji Marefu?

Matatizo kwenye elimu yamesemwa sana sana sana. HAKIELIMU wameandika report mara nyingi sana, lakini wakubwa bado hawaonekani kustuka. Sasa hivi ni tume inaundwa, lakini Wizara ya Elimu yenyewe bado wanakunywa chai na kula vitafunwa. Hawasemi wanapanga nini au wana nini jipya? Haya report ya tume ikija wataweza kusimamia kweli?
 
Vitu vyote ulivyotaja vimekuwepo siku zote, na hata serikali imekuwapo siku zote. Iweje sasa ndio matokeo yawe tofauti? Na kwanini serikali ilihaidi ufaulu kwa 70%? Ilitumia vigezo gani kutoa hizo ahadi?

Pili, mwanafunzi anaingia kidato cha kwanza hajui kusoma na kuandika, alifaulu vipi? Halafu useme, shule hazina walimu, au shule moja ina waalim 3 (shule nzima) watoto watafulu kwa nguvu za Prof Maji Marefu?

Matatizo kwenye elimu yamesemwa sana sana sana. HAKIELIMU wameandika report mara nyingi sana, lakini wakubwa bado hawaonekani kustuka. Sasa hivi ni tume inaundwa, lakini Wizara ya Elimu yenyewe bado wanakunywa chai na kula vitafunwa. Hawasemi wanapanga nini au wana nini jipya? Haya report ya tume ikija wataweza kusimamia kweli?

Tume nyingi za ccm zimekua ni vichaka vya kufichia maovu yao,tumeona na kushudia mambo mengi yameundiwa tume na mpaka leo hatujapata majibu ya tume na watu kuwajibishwa!
 
achane kuwa wavivu wa kufikiri, kwa reference ya loyora tu one zipo kumi na tano,achane kudanganywa na wanasiasa watoe majawabu matatizo,na sio kua kama mtaji!
 
Waliwalazimisha walimu kurudi shuleni lakini walishindwa kuwalazimisha wafundishe! Lazima serikali iwajari walimu, hivi mna habari walimu wameyafurahia sana matokeo ya mwaka huu? Umeziona meseji wanazosambaziana? Una habari F za hesabu zipo kama laki 3 hivi? Maswali mengi majibu kiduchu

Nimefurahi pia ili kuweka mambo sawa mapema
 
Kwani huyo mto mada katoa takwimu zipi? zaidi ya kusema tu na watu wanamsapoti.
Sasa kama unafahamu mtu akikwambia wilaya ya kinondoni bila ya kunyambulisha anachokimaanisha! na mimi nataka kumwambia kama kiwilaya shule ya Feza ipo kwenye wilaya ya kinondoni na imetoa Div I 48, lugalo ina div I 3 au ana Kinondoni anayoimaanisha?
Ni za serikali hizo eti!
 
Hapa tunazungumzia shule za serikali zilizopo chini ya manispaa ya kinondoni!magamba akili fupi sana!fedha ni shule ya manispaa!?

Ahahaha yaani viongozi wa kitaifa waizungumzie shule ya watu binafsi?Tunapo laumu kuwa serikali imeshindwa kuimarisha elimu TUNAZUNGUMZIA SHULE ZILIZO CHINI YA SERIKALI na Diwani alikuwa sahihi!

Hata hivyo Kinondoni wamejitahidi sana kupata DIV 1 hizo 5,sisi Kyela HATUNA DIV 1 hata moja na DIV 2 tunazo 2 tu!Nipo tayari kushiriki maandamano ya kumtoa Dr Kwambwa kwa mustakabali wa nchi yetu!
 
Kwani huyo mto mada katoa takwimu zipi? zaidi ya kusema tu na watu wanamsapoti.
Sasa kama unafahamu mtu akikwambia wilaya ya kinondoni bila ya kunyambulisha anachokimaanisha! na mimi nataka kumwambia kama kiwilaya shule ya Feza ipo kwenye wilaya ya kinondoni na imetoa Div I 48, lugalo ina div I 3 au ana Kinondoni anayoimaanisha?
Inawezekana wewe ni yule wa upande usioona,mnaotaka kuaminisha watu kuwa usiku ni mchana na masika ni kiangazi!Mtoa mada kaongelea shule za manispaa wewe unatakakupotosha maana kwa kututajia shule za wawekezaji!Na hujapenzwa na watu kumsapoti,sikushangai wewe na wenzako wa upande wako.
 
Si mnaona mlivyo madhaifu sasa kwa nini asingesomeka tangu mwanzo kuwa shule zinazoongozwa na manispaa zimefanya vibaya, mjifunze kuandika ili mueleweke kwa wananchi mnaowaomba kula lakini mkishika nyinyi hatamu ya uongozi sijui kama mtayaweza, labda muombe viongozi kutoka ccm.


wewe ndo hutaki kusoma ukaelewa rudia kusoma uzi upya.
 
Ahahaha yaani viongozi wa kitaifa waizungumzie shule ya watu binafsi?Tunapo laumu kuwa serikali imeshindwa kuimarisha elimu TUNAZUNGUMZIA SHULE ZILIZO CHINI YA SERIKALI na Diwani alikuwa sahihi!

Hata hivyo Kinondoni wamejitahidi sana kupata DIV 1 hizo 5,sisi Kyela HATUNA DIV 1 hata moja na DIV 2 tunazo 2 tu!Nipo tayari kushiriki maandamano ya kumtoa Dr Kwambwa kwa mustakabali wa nchi yetu!

Chadema walitoa siku kumi na nne kama zikiisha na shem wake jk hajajiuzuru kutakua na maandamano,cna uhakika zimebaki siku ngap!ila zimebaki siku chache sana!
 
Kila mtu anailaumu serikali na kila mtu ni mtaalamu wa kutambua kwa nini kizazi cha twitter/facebook kinafyatua ziro nyingi sana.

Inawezekana tatizo lipo hapo kwenye red. Kuna watoto nawajua wanatumia muda wao wote kwenye mitandao jamii, na walikuwa form four. wote wamepata ziro.
 
toa ushuzi wako hapa!! yaani mtu afanyishwe kazi bila malipo stahiki halafu useme habari za ethics!! mwalimu afanye kazi mwaka mzima bila kulipwa mshahara wake!! akidai unamtishia!, huo ni Usultani!!

Hivi kwa nini inaonekana kama vile ni jambo la kuidhihaki serikali eti kwa sababu walimu wamefelisha wanafunzi kwa sababu madai yao hayakusikilizwa,hii kazi ya ualimu haina ethics?
 
Waliwalazimisha walimu kurudi shuleni lakini walishindwa kuwalazimisha wafundishe! Lazima serikali iwajari walimu, hivi mna habari walimu wameyafurahia sana matokeo ya mwaka huu? Umeziona meseji wanazosambaziana? Una habari F za hesabu zipo kama laki 3 hivi? Maswali mengi majibu kiduchu
waliwalazimisha punda kwenda mtoni lakini wameshindwa kuwalazimisha kunywa maji. serikali ilitakiwa ilitambue hilo.
 
Kila mtu anailaumu serikali na kila mtu ni mtaalamu wa kutambua kwa nini kizazi cha twitter/facebook kinafyatua ziro nyingi sana.

Inawezekana tatizo lipo hapo kwenye red. Kuna watoto nawajua wanatumia muda wao wote kwenye mitandao jamii, na walikuwa form four. wote wamepata ziro.
Kuna kitu ambacho kimefichika kwenye matokeo hayo.
Kwenye red ni ka mchango kadogo tu kameongezea.
Pengine hao wenye uwezo wa kutumia twitter/facebook walikuwa na uwezo wa kutumia mitandao mingine yenye learning material za kishuleshule na wakafanya vizuri zaidi.
Inabidi tuwashauri waitumie mitandao kutatua matatizo yao ya kishuleshule, sio fb na twitter. mfano.hapo chini.... n.k

High School Science
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom