Manispaa ya Kinondoni yapata 'Division one' tano tu!

Manispaa ya Kinondoni yapata 'Division one' tano tu!

Wewe + Mnyika + huyo diwani = vichaa.

Unaijua manispaa ya kinondoni na mipaka yake? unajua shule zilizopo ndani ya manispaa ya kinondoni? kwa kukusaidia moja ni Feza boys, na yenyewe pekee ina div one (1)=48, div two (2)=20 na div (3) 8. Sasa hao wapuuzi wenzio kawashauri ya kwamba, div 1 sio jambo la msingi sana na wenda hata wao hawakuipata, cha msingi ni kile kiwango cha ufaulu kilichowekwa na wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi kufikiwa.

Wewe mjinga kabisa Feza boyz ni shule ya serikali? Acha kukurupuka kama unahali.sha
 
Kwani huyo mto mada katoa takwimu zipi? zaidi ya kusema tu na watu wanamsapoti.
Sasa kama unafahamu mtu akikwambia wilaya ya kinondoni bila ya kunyambulisha anachokimaanisha! na mimi nataka kumwambia kama kiwilaya shule ya Feza ipo kwenye wilaya ya kinondoni na imetoa Div I 48, lugalo ina div I 3 au ana Kinondoni anayoimaanisha?


alieanzisha thred anajua akimtaja mnyika hataa kama ameandika pumba kila mtu atamuamini. manispaa ya kinondoni ina shule za sekondari 17! hapa jamii frms sasa hivi naona great thinkers ni wachache sn! nakushukuru kwa kutoa mfano wa feza schools!
 
Nadhani vema kuanza kujiuliza kama siasa ina ethics kuliko kuanzia kwa walimu ndo tutapata uhakika wa mazungumzano. Vinginevyo tunapoteza muda...! Kwa maoni yangu siasa ya TZ haina ethics na kwa hiyo mengine yote yanakosa ethics na ndo maana kuendelea ni ndoto za mchana. Tukitaka kwingine kote kuwe na ethics, tuanzie kwa viongozi (siasa) maana ndo watunga sera, watekelezaji na wawajibishaji. Kama hawana ethics nani atawajibika kwa watoto kufeli?

Siasa zina ethics, moja ya sababu ambayo inasababisha chama cha mapinduzi kisakamwe ni kuachana na misingi ambayo baba wa taifa aliipanda ndani ya chama hicho na ndani ya taifa kwa ujumla, sasa kitendo cha wao kuzivunja sio sababu ya kila profession kuvunja za kwake.
 
Wewe + Mnyika + huyo diwani = vichaa.

Unaijua manispaa ya kinondoni na mipaka yake? unajua shule zilizopo ndani ya manispaa ya kinondoni? kwa kukusaidia moja ni Feza boys, na yenyewe pekee ina div one (1)=48, div two (2)=20 na div (3) 8. Sasa hao wapuuzi wenzio kawashauri ya kwamba, div 1 sio jambo la msingi sana na wenda hata wao hawakuipata, cha msingi ni kile kiwango cha ufaulu kilichowekwa na wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi kufikiwa.

Yani wewe ndio ushuzi kabisaaa,soma uzi!hapa tunazungumzia shule za serikali zilizo chini ya manispaa ya k'ndoni!S¤#»PD
 
Walimu kazeni uzi,msikubali kutaabishwa miaka nenda miaka rudi,

Na mwakani zidisheni zenu hasira ili muwafelishe zaid,haiwezekan nyinyi mfanye kazi kubwa ya kuwafikisha baba zao hapo walipo kipesa na madaraka kisha wao wawasahau nyinyi,wawape mshara mdogo then wao wana lipana lipana tuh mipesa ya ajabu ajabu na kuhonga madada vitala..

Kazenu uzi sana na msilegezee..
 
alieanzisha thred anajua akimtaja mnyika hataa kama ameandika pumba kila mtu atamuamini. manispaa ya kinondoni ina shule za sekondari 17! hapa jamii frms sasa hivi naona great thinkers ni wachache sn! nakushukuru kwa kutoa mfano wa feza schools!

Feza kumbe inamilikiwa na serukali
 
Nipo kwenye mkutano wa hadhara hapa mwananyamala!makamanda wanaungurumisha wakiongozwa na mh. Jj Mnyika!diwani wa kata ya Saranga ametoa taarifa kwamba shule za manispaa ya kinondoni zipatazo kumi na saba division one ni tano tu!haya yote ni matokeo ya uozo wa mfumo m'bovu wa ccm!kaa chonjo 2015 mabadiliko lazima!

Kwani huyo mto mada katoa takwimu zipi? zaidi ya kusema tu na watu wanamsapoti.
Sasa kama unafahamu mtu akikwambia wilaya ya kinondoni bila ya kunyambulisha anachokimaanisha! na mimi nataka kumwambia kama kiwilaya shule ya Feza ipo kwenye wilaya ya kinondoni na imetoa Div I 48, lugalo ina div I 3 au ana Kinondoni anayoimaanisha?



Uongo mtupu, ninaifahamu shule moja ambayo ina division one zaidi ya 10 !!!!!



achane kuwa wavivu wa kufikiri, kwa reference ya loyora tu one zipo kumi na tano,achane kudanganywa na wanasiasa watoe majawabu matatizo,na sio kua kama mtaji!



Feza boys n girls zipo wilaya gani?



Inamaana hata St Marys. Hakuna kitu? Au anamanisha shule za kata?



Wewe + Mnyika + huyo diwani = vichaa.

Unaijua manispaa ya kinondoni na mipaka yake? unajua shule zilizopo ndani ya manispaa ya kinondoni? kwa kukusaidia moja ni Feza boys, na yenyewe pekee ina div one (1)=48, div two (2)=20 na div (3) 8. Sasa hao wapuuzi wenzio kawashauri ya kwamba, div 1 sio jambo la msingi sana na wenda hata wao hawakuipata, cha msingi ni kile kiwango cha ufaulu kilichowekwa na wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi kufikiwa.





Baadhi ya wachangiaji uelewa wao wa mada unatia shaka.

Kama wangelifanya mtihani wa kumaliza kidato cha nne mwaka 2012, uelewa wao wa maswali yake(mtihani) ungelikuwa hivihivi.
 
CHADEMA wangejaribu ku-break down kwa kila jimbo ili wabunge wa CCM waone madhara ya ndiyo zao bungeni. Kawambwa bado yuko ofisini anacheka. Kama Chami, Mkulo na Omar Nundu waliondolewa kwa sababu za kiutendaji, kwa nini Kawambwa abaki wakati generation inageuzwa mbumbumbu? 94% wamefeli, bado wana matumaini na Waziri kuwa ana jipya?

Chami, Nundu, Mkulo. Maige kwanza hawatoki Bagamoyo. pili. Hawana uhusiano wa damu na JK. Tatu,eti...mhn..eti First led na Riz1 ndiyo walipeleka jina la Kawambwa kwa mkuu. Hivyo, hatoki eti huyo!
 
sasa kali iko katika wilaya ya BUNDA kwenye majimbo mawili ya bunda na mwibara ambako kuna shule 29 ambazo matokeo ni kama ifuatavyo division I-02; division II-30; division III- 113; division IV-955 na division 0- 2084 hivyo ndo hali ilivyo wilaya ya bunda kwa mzee wa kulala bungeni.
 
Hapa hatumtafuti mchawi,aliyesababisha haya ni serekali yetu.na wabunge wapiga makofi wakitokea usingizini.ukipanda michongoma utavuna michongoma.unategemea shule haina waalimu ifaulishe? Au mwalimu ananjaa na hajapaya vijisenti vyake vya mshahara afundishe kwa moyo / tukiwa na ile dhana ya ualimu ni wito na ubunge ni ajira?
 
Feza kumbe inamilikiwa na serukali

kumbe anamaanisha za serikali!? yeye aliandika kuwa shule za manispaa ya kinondoni zipatzo 17...... nilidhani shule zilizomo katika manispaa ya kinondoni.

nashauri mtu akiandisha thread awe amejipanga vizuri akiwa na ushahid wa kutosha na aandike lugha inayoeleweka.

tuko pamoja!
 
Hivi kwa nini inaonekana kama vile ni jambo la kuidhihaki serikali eti kwa sababu walimu wamefelisha wanafunzi kwa sababu madai yao hayakusikilizwa,hii kazi ya ualimu haina ethics?

Jiulize kwanza wewe kama haya uliyoandika kama yana "ethics". Au umedhani walimu hawatajui maana ya ethics?
Eti ethic...........! Ethic mwenyewe...............!!!!!!!!!!1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom