Mange ndani ya NY Post!

Aliacha umbeya, akaipiga siasa ila alivyorudi kwenye umbeya kwa kutumia app. Bado akawa vizuri

Alipoteza account ina watu 7 million.. Akaanza siasa tena kwa account nyinginr ya watu m1,
katikati ya miezi miwili mitatu akafikisha followers zaidi ya 2.5 nadhani. Yani ongezeko lake la followers (1.5) kuna wasanii hawana hiyo number kwa career ya miaka mingi

Unachosema kinaweza kutokea ila Mange ana influence sana na anachokifanya. Ni wachache wanaweza kukifanya ndio maana presence yake mtandaoni inaogopeka
 

duh, si mchezo ...
 
Acha kufanya assumptions.

Hujui kazi ambazo baadhi yetu tunazifanya huku nyuma ya pazia kuhakikisha Samia na wauaji wenzake wanawajibika.

Sina haja ya kuja hapa na kutangaza kila kitu.
Hongereni sana kwa kila jitihada mnazozifanya dhidi ya wauaji mashetani, zinazolenga kutetea haki za binadamu wenzenu.
Tunamwomba Mungu wetu awajalie ushindi, na laana ya damu ikatande juu ya wauaji wote na vizazi vyao vyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…