i pad3
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,518
- 378
Mbona anamwili mbovu hivyo...
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Wewe hujui kabisa na unatia aibu bana toka hapa
Mbona anamwili mbovu hivyo...
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Acha ushamba wewe mambo ya mbele ni huko huko mbele na ya huku nyuma tuachieni wenyewe hivi wewe unaweza kaa hivyi mbele ya mwanao
Wewe hujui kabisa na unatia aibu bana toka hapa
Shost wa mama yako labda,mimi sina shost.Kama ana mvuto kwa mmewe si ndo inavyotakiwa?pilipili usiyoila yakuwashia nini.mimi wote Linda na Mange nawaona sawa tu
hivi kuna watu bado mko very interested na kina mama wenye matumbo makubwa na minyama uzembe,sasa hilo tumbo utalipeleka wapi jamani unless awe mjamzito lakini kwa tumbo hilo hapana!kiukweli linga ni mzuri sio kidogo ila mdomo mchafu anao sana tu kuna siku huyo mange aliingia anga zake mbona alimfungia mtaaa ila linda ni mzuri mnoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo wapi LARA1
cheki mguu wake then cheki na huu wa bibi mange
Hapa umevunja ubishi kulinganisha picha ya Mange na Linda, pia naona hata Mange mwenyewe kajifungia chooni huku akilia kummind Linda na guu lake. Kuna mademu wameumbika jamani na mange is NOT even close, sema tu anajishebedua na kulazimisha watu wamkubali. Yaani demu akivaa kiatu anaoenakana kama vile kiatu kimemvaa yeye kwa ile miguu ya chelewa/toothpick, vitako vimekomaa na vimeingia ndani kama mzungu mkulima (red neck). Kwanza ni kosa kumafananisha Mange na Linda, Linda ni taifa kubwa na kilio karibia ya kila mwanamme (uzuri, mvuto, guu, t.ako, tabasamu), Mange ni wa kuchapa tu (one night stand) na kuacha kwenye mataa kisha unasingizia umefiwa ili uondoke. Mwanamke kama Mange ilibidi aolewe na mzungu kwani wazungu wanapooa wanawake wa kiafrika mara nyingi unakuta huyo mwanamke is a reject kwenye society yetu (sura, shepu, macho, miguu, u-fake mwingi), chunguzeni tu mtaona.
Kwa hiyo unakubali kuwa kujisitiri ni utamaduni wetu au sio, ndo maana tuliona bora kufunika na majani kuliko kukaa uchi kabisa ukizingatia pia hatukuweza kutengeneza majani ya kufunika mwili mzima kutokana na uwezo mdogo katika ubunifu.
Baada ya wazungu kutuletea nguo tuliacha kukaa uchi. Ndio maana hata wewe pamoja na kujishaua kwakp hujaleta picha zako za bikini mtandaoni. Na ukumbuke pia kuwa issue hapa sio tu kwamba ni kinyume na maadili ya kitanzania bali ni kiafrika generally.
Kwa kuhitimisha nasema huu ni utamaduni wa kizungu kwa sababu wanaweza kukaa familia nzima ndani ya bikini na hakuna kushangaana, kwenu hamuwezi unless mnaishi mbele... hawa kina mange wanafogi tu.
mange ni huyo huyo kim kardash anajipigia debe/promo humu....huna lolote.
kuzuia fikra za mtu ugumu wake ni sawasawa na kujaribu kutafuta chawa katika nywele za mtu mwenye kipara!- tafakari.
una beef na linda,just come open bitch usimtumie mange kama kivuli kumrushia mawe linda nyau we :nimekataa:shut-mouth:
na wewe usilete vioja vya mchunga ng'ombe,kumtandika bakora ng'ombe alienyuma ya msururu wa ng'ombe anaowaswaga ili kumlazimisha atembee haraka,lakini anasahau kuwa huyu ng'ombe mwendo wake unategemea zaidi mwendo wa ng'ombe walio mbele yake..kukusaidia tu ni kwamba ulitakiwa kupeleka mashambulizi yako haya binafsi kwa aliemleta linda kwenye hii thread,rudi page 2 utamkuta huko na nilimuuliza linda anaingiaje hapa kwenye bikini ya mange,akaishia kusaka picha za linda kwenye mablog na kuja kuzipachika hapa
nonsense....kubwa zima linaandika utumbo,sio wewe uliyesema linda ana tumbo kubwa?as if linakuhusU....
N a wewe kumbe ni katika wale wanaodandia treni tena ya mwakyembe kwa mbele,acha uvivu rudi page 1 &2 utajua nani alimleta linda humu kwenye hii thread,acha matusi jenga hoja,kama kaletwa humu ni halali yetu yakhe,usitulaumu sisi mlaumu aliemleta kwani hakukua na ulazima kabisa wa kumleta,rudi page 1&2
si ndio tunaendelea kumjadili kwa kuwa ameletwa humu,au mwisho ilitakiwa baada ya wewe kusema ana tumbo kubwa?usiniambie mambo ya hoja...ungekuwa mtu wa hoja vitu kama bikini na matumbo ya watu visingekuwa fascinating kwako....
mimi nilichokifanya ni kuielezea picha kama ilivyowasilisha,tumbo kweli hata wewe nadhani unaliona