andate
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 2,651
- 1,006
mtoto ana kinywa cha nguvu, hata akila chapati hana haja ya kuikunja, yapita nzimanzima.tumbo gani unaongelea hapa...mdada ni wa ukweeeeeee huyu appeal kwa muumba wake
mtoto ana kinywa cha nguvu, hata akila chapati hana haja ya kuikunja, yapita nzimanzima.tumbo gani unaongelea hapa...mdada ni wa ukweeeeeee huyu appeal kwa muumba wake
wewe mshamba linda is one of the byutifuli woman aisee....and sakseful as well....kuna wakati nilikuwa namtamani kingono kweli kweli.....na hana mdomo mchafu kama muke ya muzungu....
mange ni huyo huyo kim kardash anajipigia debe/promo humu....huna lolote.
kuzuia fikra za mtu ugumu wake ni sawasawa na kujaribu kutafuta chawa katika nywele za mtu mwenye kipara!- tafakari.
una beef na linda,just come open bitch usimtumie mange kama kivuli kumrushia mawe linda nyau we :nimekataa:shut-mouth:
na wewe usilete vioja vya mchunga ng'ombe,kumtandika bakora ng'ombe alienyuma ya msururu wa ng'ombe anaowaswaga ili kumlazimisha atembee haraka,lakini anasahau kuwa huyu ng'ombe mwendo wake unategemea zaidi mwendo wa ng'ombe walio mbele yake..kukusaidia tu ni kwamba ulitakiwa kupeleka mashambulizi yako haya binafsi kwa aliemleta linda kwenye hii thread,rudi page 2 utamkuta huko na nilimuuliza linda anaingiaje hapa kwenye bikini ya mange,akaishia kusaka picha za linda kwenye mablog na kuja kuzipachika hapa
nonsense....kubwa zima linaandika utumbo,sio wewe uliyesema linda ana tumbo kubwa?as if linakuhusU....
N a wewe kumbe ni katika wale wanaodandia treni tena ya mwakyembe kwa mbele,acha uvivu rudi page 1 &2 utajua nani alimleta linda humu kwenye hii thread,acha matusi jenga hoja,kama kaletwa humu ni halali yetu yakhe,usitulaumu sisi mlaumu aliemleta kwani hakukua na ulazima kabisa wa kumleta,rudi page 1&2
si ndio tunaendelea kumjadili kwa kuwa ameletwa humu,au mwisho ilitakiwa baada ya wewe kusema ana tumbo kubwa?usiniambie mambo ya hoja...ungekuwa mtu wa hoja vitu kama bikini na matumbo ya watu visingekuwa fascinating kwako....
mimi nilichokifanya ni kuielezea picha kama ilivyowasilisha,tumbo kweli hata wewe nadhani unaliona
well,lets see wewe na huyo mange at 40 na watoto wanne kama mtaendelea kuwa na flat stomachs.....am off.
Cku nyingine uweke uchi tuuone.....
Nilishakujua wewe ni anti MK ila unakuja humu kurusha picha za ajabu, kumbe donge unalo bado. Kwa business hauoni ndani kwake kwa kweli. Sijapenda wewe miaka 40 unajirusha mapicha yako humu kujionyesha, si utulie au? Kwa nini hujaanzisha thread yako ya photos before hii?
Sipendi wanawake wanaovuka mipaka mie.
mtoto ana kinywa cha nguvu, hata akila chapati hana haja ya kuikunja, yapita nzimanzima.
yan kuna watu humu wanavichekesho acha kabisa.JF is never boringgggggggg
ana mdomo mkubwa paaa!
Hivi unajua kuwa upana wa mdomo ni direct proportional to upana wa ile kitu?
Hahahahaha. Anachezesha mechi ya Barcelona na Mbagala Market
basi hata yeye ana beef na yeye mwenyewe,mana pia kaziweka kule kwake,na wapiga madongo wanamgonga kama kawa,wafagiliaji nao wanafagilia kwa bidii zote,so hakuna jealous hapo bali ni katika kuupanua mjadala tu kutoka social network moja kwenda nyingine ili kupata wigo mpana zaidiKIM KARDASH acha majelous
kwanza huyo mange nadhani una beef nae umemleta tu humu ili atukanwe..maana unajua kabisa humu jf malaria haikubaliki
mimi simchukii mange hata but siwezi kumleta humu wacha unafiki!
HUYU ni MANGE na mafanikio yake,na chini Da LINDA NA MAFANIKIO YAKE!Kwani huyu Mange ni nani na Linda naye ni nani na wana mafanikio gani?
mtoto ana kinywa cha nguvu, hata akila chapati hana haja ya kuikunja, yapita nzimanzima.
Linda yupo independent tangia anamiaka na hisi18.mange Anamuiga linda
Kama huoni tofauti ya Mange na Huyu basi mimi sina sababu ya kuendelea na mjadala huu na wewe- inaelekea una mapenzi ya kupitiliza hata lililo chongo wewe waona ni kengeza!!!