kiukweli linga ni mzuri sio kidogo ila mdomo mchafu anao sana tu kuna siku huyo mange aliingia anga zake mbona alimfungia mtaaa ila linda ni mzuri mnoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo wapi LARA1wewe mshamba linda is one of the byutifuli woman aisee....and sakseful as well....kuna wakati nilikuwa namtamani kingono kweli kweli.....na hana mdomo mchafu kama muke ya muzungu....
miguu yake hiiMange angekuwa mzuri naona angeringa sana, hapa yupo hivi tu miguu kama ya kuku ama chelewa na meno ya sungura anapiga kelele. Kweli kizuri chajitembeza cha kinyaa chajiuza. Yaani vitako vimekomaa kama a red neck wa Mississippi ama cowgirl? Mhhh, shida kweli kweli!
Naona kibaraka wa Mange Kitambi ameikimbia thread yake, huu ushuzi wao wawe wanaishia huko huko kwenye viblog vyao uchwara.kiukweli linga ni mzuri sio kidogo ila mdomo mchafu anao sana tu kuna siku huyo mange aliingia anga zake mbona alimfungia mtaaa ila linda ni mzuri mnoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo wapi LARA1
cheki mguu wake then cheki na huu wa bibi mange
kiukweli linga ni mzuri sio kidogo ila mdomo mchafu anao sana tu kuna siku huyo mange aliingia anga zake mbona alimfungia mtaaa ila linda ni mzuri mnoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo wapi LARA1
cheki mguu wake then cheki na huu wa bibi mange
Smile umeua dada yangu!! Hii ndio ile Mwinyi alisema kufananishe kichuguu na mlima kilimanjaro!!!
wEKA NA WEWE PICHA YAKO TUKUONE,Mbona anamwili mbovu hivyo...
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Temea chini ndugu yangu!wewe mshamba linda is one of the byutifuli woman aisee....and sakseful as well....kuna wakati nilikuwa namtamani kingono kweli kweli.....na hana mdomo mchafu kama muke ya muzungu....
una mume mzungu nini?wEKA NA WEWE PICHA YAKO TUKUONE,
This is stupid,kwani akiwa na milonjo ndo hatembei?hivi mtu ana miguu ngoja siku moja ukatike hiyo miguu yako ndo utajua umuhimu wa chelewa.kWA NINI MNAINANGA MIGUU YA MTU AMBAYE HAKUJIUMBA?
kwani akijisifia wewe inakuuma nini?jali mambo yako usijali ya Mange ana chelewa wewe unafaidika au unapungukiwa nini?wewe nani kakukatalia kujisifia.Wee ndio taahira kabisa, kama una milonjo halafu unajisifia uzuri watu wana haki ya kukueleza ukweli, wangapi wana hiyo milonjo na husikii mtu akiwananga? Kama unaumia sana huyo mtu wenu kusemwa mwambieni aache mashauzi. Otherwise watu wataendelea kuweka records clear
nina mme mweusi kama coal anatokea south sudanuna mume mzungu nini?
ok maana unavomtetea nilidhani na wewe ni member kwenye lile chama lenu ambalo ni chair la wake za wathungunina mme mweusi kama coal anatokea south sudan
KIM KARDASH huyu rafiki yako mbona kila kitu feki ...
fake boobs
fake hair
fake skin color
umhhh! ni mtazamo... tu .. ila tusimlaumu ndio maisha aliyochagua mwenyewe ....
Futa mipovu kwanza naona unambwela mbwela tu, ndio mkome kutafuta Free Promo hapa JF wakati huyo shosti wenu ni ushuzi mtupu na wala hana mvuto labda kwa huyo Mzungu wake ambaye kwake 0713 ndio muhimu zaidi.This is stupid,kwani akiwa na milonjo ndo hatembei?hivi mtu ana miguu ngoja siku moja ukatike hiyo miguu yako ndo utajua umuhimu wa chelewa.kWA NINI MNAINANGA MIGUU YA MTU AMBAYE HAKUJIUMBA?