OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Ni Same kwa Wapare mkuu na sio uchaggani.
Sawa ni Same;je na Wachagga wanatoa hiyo makitu!!!!????
Ni Same kwa Wapare mkuu na sio uchaggani.
Sawa ni Same;je na Wachagga wanatoa hiyo makitu!!!!????
Ninaichukia sana hii mila,hivi wanawake kwanini hamshikamani ili kuhakikisha kuwa hii mila inatokomezwa kabisa,ukichukulia kwamba wengi wenu mmesoma sana na mna hold very reputable positions in the government.Ngariba maarufu huku JF Mr ZeMarcopolo hayupo Kati ya hao 38?
Umaanisha hawa dada zetu wakichanga ni wahanga??hivyo ukiwaona tu count zero??Afisaa mmoja wa serikali kaskazini mwa Tanzania ameambia BBC kuwa kikundi kikubwa cha watu waliokamatwa kwa kuhusika na ukeketaji wa wasichana mjini Moshi watafikishwa mahakamani Jumatano.
Kamishna wa wilaya katika eneo la Kilimanjaro (Herman Kapufi,) amesema kuwa watu 38 waliokamatwa Jumatatu miongoni mwao ni wazazi wa wasichana waliokuwa wanakeketwa.
Alisema kuwa wasichana waliokeketwa wanapokea matibabu.
Maafisa wakuu mjini Moshi Tanzania, waliwakamata wanawake 38 mnamo siku ya Jumatatu waliopatikana wakiwakeketa wasichana katika eneo hilo.
Haijulikani idadi ya wasichana walioathirika. Lakini ripoti zinasema kuwa walikuwa kati ya umri wa miaka 3 na 16.
Ingawa ukeketaji ambao umeharamishwa huendelezwa katika sehemu nyingi za Mara na Dodoma nchini Tanzania , hilo sio jambo la kawaida kutokea mjini Moshi.
Inaarifiwa wanawake hao walikamatwa walipokuwa wanacheza dansi ya kitamaduni wakiwazingira wasichana ambao ndio walikuwa wamekeketwa tu.
Baadhi ya wasichana inaarifiwa bado walikuwa wanavuja damu na wengine wakiwa wanauguza majeraha.
Ukeketaji umeharamishwa nchini Tanzania tangu mwaka 1998 ingawa bado unaendelezwa katika baadhi ya sehemu za nchi hiyo.
Inakisiwa asilimia 15 ya wasichana pamoja na wanawake wamekeketwa nchini humo.
Mangariba 38 matatani Moshi Tanzania - BBC Swahili - Habari
mh!Ina maana Manka wangu naye hana king'amuzi? Ni maeneo gani ya moshi wanapokeketa?Umaanisha hawa dada zetu wakichanga ni wahanga??hivyo ukiwaona tu count zero??
Umaanisha hawa dada zetu wakichanga ni wahanga??hivyo ukiwaona tu count zero??
Hivi na wachaga wanang'oa antena kama watu wa kanda ya ziwa?
Ngariba maarufu huku JF Mr ZeMarcopolo hayupo Kati ya hao 38?
labda nae ni mmoja wao,maana wanapenda sana kufanya vilivyokatazwa na hawapendi kutenda vilivyohalalishwa
watani wanakeketa eti,hawaelewi kuwa wanamnyima haki ya kupata anachotakiwa kukipata mdada?umeanza uchokozi kwa watani