Maneno ya Kiswahili Yaliyopotea

Maneno ya Kiswahili Yaliyopotea

Hali mbaya mkuu😂😂😂😂
Mkuu nilishawahi kuwa mhadhiri msaidizi hapo Kwa hiyo najua UE inashihishwa vipi.
Kwenye UE jitahidi kuandikia majibu hata kama huyajui, kamwe usiache kujaza maana Kuna muda mwalimu anakusahihisha na kuwekwa tiki ili awasaidie.

Naamini utatoboa mkuu.
 
Naweka neno na mbele yake naweka mbadala wake/neno lililochukua nafasi kwa sasa. Maneno ambayo yanapotea /yanaaadimika katika matumizi ni pamoja na

Kiosk___duka
Umbo___shepu
Redio___sabufa/sound bars

Pia kuna maneno yamekuwa maarufu mno lakini kwa maana ya tofauti kabisa na ijulikanayo. Maneno ambayo yanapoteza mwelekeo wa maana halisi

Fokonyoa___(rejea kamusi za lugha)
Pakata___(rejea kamusi ya kiswahili)
Punga___(rejea kwenye kamusi)
Chawa___
Chura___
 
Kigoli
Chaudera
Mziwanda
Shori(mwanamke)

kipotabo(mwanamke mzuri mdogomdogo)

mpododo(mwanamke mzur mwenye hekaheka za makalio)

Utajiju(chupi za tmk)

Anita(baiskeli za phonex)

Bondo(ugali)

Cha kumicha(wali)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom