Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Hebu tujikumbushe maneno ya kiswahili ambayo kwa sasa aidha yamesahaulika au yanatumika kwa nadara sana.
Hebu na wewe ongezea mengine katika kukienzi Kiswahili
- Jokofu = Friji
- Sigiri = Jiko la Mkaa
- Kishida = Underskirt,
- Msusa = Majani ya Maboga,
- ......... =........
Hebu na wewe ongezea mengine katika kukienzi Kiswahili