Maneno ya kejeli ya mume wangu

Pole Dada kwa mitihani ilokupata. Ushauri wangu muombe Mungu Kwani yeye peke yake Ndo anaweza kumbadilisha mume wako. Kila ndoa ina mapito yake.
Na pia hilo tatizo lako linatibika kabisa. Kuna daktari nafahamu anaweza kukusaidia na ukapona kabisa
 
Ushauri mzuri sana huu.

 
Leave! Even for a while. Leave so you can find peace of mind, once you have peace of mind you can decide the direction you want to take.
Sasa unaishi under a lot of confusion and stress, it's important you have time alone my dear.
Pole yake huyo dada kwa mateso aliyonayo ndani ya ndoa yake, ujue ndoa ni upendo wa dhati kama hakuna upendo wa dhati basi hakuna ndoa, fanya uamuzi wa busara kuachana na huyo mwanaume hana upendo na wewe, anaweza kukuletea magonjwa ya zinaa. usilazimishe ndoa isiyokuwa kuwa na upendo.
 
Nacherewa hebu tupe mrejesho wa ndoa yako kwa sasa, miezi km minne sasa tangu ulete hii thread, naamini kuna mengi yatakuwa yametokea hapo kstikati...either u moved away au mmeo amejirekebisha tabia!
 
Last edited by a moderator:

Nimependa comment yako mkuu...
 
Hukupaswa kufanya hili kwa mwanaume yabisi, mkiriti,mjihibu na mlimuti

''Bahati nzuri nilikuwa na ndugu zangu ambao ni polisi tena wana vyeo hapo kituoni, nikaweza kufuatilia hadi kesi ikaishia polisi''
 
Ndoa na changamoto zake chagua kuwa mvumilivu...mungu Yuko na makusudi yake kukupitisha katika hayo
 
Kwaio umeamua kuja kunitangaza hapa?
Sikuulizi kitu..
Utajuta utaona vitendo tu.
Hayawani mkubwa mie.
Acha kurisha watu kima wewe, hapo ndio akutane na mwanaume mwingine muanze kulia lia hovyo.
 
Aisee kuna watu wanateseka na hizi ndoa jmn wacheni..na still mtu unaomba ushauri ufanyeje na mtu kila kukicha anachepuka subir uletewe ukimwi.
 
Aisee ila kuna watu hawana ubinadamu. Kwa mwanamke akiwa ameshindwa kupata mtoto ni vibaya sana kumtamkia maneno kama hayonya kumkejeli hali yake ya kukosa watoto.

Aiseee maisha haya yanataka sana busara na hekima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…