Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
nilicheka sanaBujibuji said:wakati mwingine huaga sipendi kelele na ndo maana naamua kisikiliza empty c.d!!!!!!!!
nilicheka sanaBujibuji said:wakati mwingine huaga sipendi kelele na ndo maana naamua kisikiliza empty c.d!!!!!!!!
ukichoka kufanya siri,fumaniwa tu yaishe.Kuna moja inasema makalio ya sufuria hayaogopi moto.....na nyingine inasema shimol panya halifikiwi wa mkate...
unakuja mjini na rijembe kwani kuna shamba hapa,we mura,mujini unakuja na ribrifkesi.•Tumia busara sio nguvu contena akili kisoda
•Mjini maneno nguvu kijijini
nilicheka sana
Haya mkuu.Kuna moja inasema makalio ya sufuria hayaogopi moto.....na nyingine inasema shimol panya halifikiwi wa mkate...
unakuja mjini na rijembe kwani kuna shamba hapa,we mura,mujini unakuja na ribrifkesi.