Mandonga: Namtaka Mwakinyo bondia wa mchongo

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,243
103,945
Mandonga Mtu Kazi baada ya kumfumua ndoige Saidi Mbelwa ametangaza kumtaka Hassan Mwakinyo.

Akihojiwa baada ya pambano amesema anaenda Qatar kupimzika, akirudi anamtaka Mwakinyo huku akimuita bondia wa mchongo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom