Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,568
Bondia Hassan Mwakinyo wa Tanzania athibitisha ubora wake baada ya kumchapa Mjeda wa Ghana raundi ya saba katika pambano la ubingwa wa WBO.
---
Bondia Hassan Mwakinyo ameshinda pambano usiku huu kwa kumpiga Bondia wa Ghana Elvis kwa KO katika round ya 7 ya pambano hilo la kuwania ubingwa wa WBO Africa ambalo limepigwa New Amaan Complex Zanzibar.
---
Bondia Hassan Mwakinyo baada ya kumpiga Bondi wa Ghana Elvis kwa KO katika raundi ya 7 amewashukuru Waandaji wa pambano hilo kwa kumpa fursa ya kuwaonesha Mashabiki kuwa yeye ni Mpiganaji wa aina huku akisema anaamini kufa kwa Imam sio mwisho wa kufanya Ibada hivyo hata wakati ambao alikuwa hapati nafasi haikumvunja moyo.
Mwakinyo amenukuliwa akisema “Namshukuru Mungu pia Waandaaji wa pambano kwa kunipa nafasi ya kuonesha Mashabiki zangu kuwa Mimi ni Mpiganaji wa aina gani, mara zote nimekuwa nikiamini kwamba kufa kwa Imam sio mwisho wa kufanya Ibada, akifa Imam inabidi utafute Imam mwingine Ibada ziendelee”
“Hata wakati ambao nilikuwa sipati nafasi ilikuwa hainivunji moyo nilikuwa naamini ipo siku nitapata nafasi ambayo inastahili sawa na heshima yangu, nawashukuru Mashabiki zangu kwakuwa wamenivumilia muda mrefu
---
Bondia Hassan Mwakinyo ameshinda pambano usiku huu kwa kumpiga Bondia wa Ghana Elvis kwa KO katika round ya 7 ya pambano hilo la kuwania ubingwa wa WBO Africa ambalo limepigwa New Amaan Complex Zanzibar.
---
Bondia Hassan Mwakinyo baada ya kumpiga Bondi wa Ghana Elvis kwa KO katika raundi ya 7 amewashukuru Waandaji wa pambano hilo kwa kumpa fursa ya kuwaonesha Mashabiki kuwa yeye ni Mpiganaji wa aina huku akisema anaamini kufa kwa Imam sio mwisho wa kufanya Ibada hivyo hata wakati ambao alikuwa hapati nafasi haikumvunja moyo.
Mwakinyo amenukuliwa akisema “Namshukuru Mungu pia Waandaaji wa pambano kwa kunipa nafasi ya kuonesha Mashabiki zangu kuwa Mimi ni Mpiganaji wa aina gani, mara zote nimekuwa nikiamini kwamba kufa kwa Imam sio mwisho wa kufanya Ibada, akifa Imam inabidi utafute Imam mwingine Ibada ziendelee”
“Hata wakati ambao nilikuwa sipati nafasi ilikuwa hainivunji moyo nilikuwa naamini ipo siku nitapata nafasi ambayo inastahili sawa na heshima yangu, nawashukuru Mashabiki zangu kwakuwa wamenivumilia muda mrefu