Yupo.AlionyeshwaJK simwoni hapa
Mfasili wa leo mdada. Yupo makini sana.Si kama yule mvutabangi!
Yupo.Alionyeshwa
sana alipoingia.
Kweli,ndio namuona!Wamembadilisha mkuu, amekuja mkaka
Acha kugugumizi usiharibu kiswahili.
Atahutubia baadae kidogo.Sikumwona mkuu, i wish ningemwona!
Atahutubia baadae kidogo.
Tizama maazishi ya mandela hapa live kwa wale wasio na kingámuzi: Nelson Mandela has died. Live coverage from eNCA - YouTube
Hata mm sikumwona, ila nimemwona zuma mstari wa mbele kabisa!