Maino apate tu kocha atakaefungua potential yake yote maana anafurahisha kumuangalia na mpira mguuni.
Ila timu kama hii kutuchezea nusu uwanja sio sawa ni dharau kubwa mno.
Maino apate tu kocha atakaefungua potential yake yote maana anafurahisha kumuangalia na mpira mguuni.
Ila timu kama hii kutuchezea nusu uwanja sio sawa ni dharau kubwa mno.
Maino anaperform ndani na team mbovu. Yaani unaeza kua the best but walikuzunguka wanakufanya uonekane avarege.
Casemiro imetosha sasa
Awe anaanzia benchi
Sub za Baba Ubaya hua mara nyingi zinaniachaga mdomo wazi.
Leo kama hakuna mchezaji atakae kula umeme basi first eleven yote wanaweza kulambe kadi za njano.
Højlund pamoja na kufunga magoli mawili ila jamaa anapoteza sana mipira, pasi zake utafikiri hua anafunga macho kabla ya kupiga mpira.
Kwa hali hii kweli?..? Kuna muda hata sielewagi Ten hag na Watoto wake wanafanyaga nini Carrington mpira mbovu mpaka ninachoka kuutizama yani inatokea Tumeshinda ila sasa shambulizi na Msako tuliopigwa ni kama vile tulikuwa Pungufu yani static hazipishani na Chelsea Jana.