Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Anayejua TEN HAG anatupeleka wapi kiuchezaji na si kimatokeo aniambia, nahisi kama tunapotea.
Ten Hag ni fala! Wachezaji wabovu kama Onana na Antony anawabeba japokuwa wanafanya makosa karibia kila mechi, ndiyo maana Sancho akaamua kutoa ya moyoni. EtH ni falafala mmoja hivi. Atolewe tu ndiyo akili imkae sawa. Varane kam-drop ila wangese wake ndiyo anawabembeleza.

Ego the size of Old Trafford.
 
Mnamtimua siyo
....kasema anafikiria kwnda na huko afcon kwnyewe maana atawaacha kwny hali mbaya sana...anaipenda sana klabu yake na anataka kuipigania kwlikwli
Kufungwa goli kumi na nne katika mechi tano na Galatasaray na FC Copenhagen ni uzembe wa kipa.

Hapo Galatasaray tu kayaoga 6 Copenhagen 4 na Bayern 4.

Fala huyu
 
Magwaya amekuwa wamoto hivi karibuni lakini. Bruno naye ni hatari. Lile shuti lake jana, daaah, Manyumbu watuuzie yule mhuni aisee. Kale ka Garnacho nako si haba. Onana aliharibu ila najiuliza mbona hata Manyumbu walivyotangulia, game ilikuwa wazi mno? Kwa nini 7hag hakurejea mbinu zake za premier league za kupaki basi na kuvizia counter? Badala yake wakawa wanapishana mashambulizi, mido kuko wazi mtu anakimbia bila kukabwa utadhani mchezo wa riadha na siyo mpira. Ile game hata ingeisha 7-7 nisingeshangaa.
 

Tena kwa game ya jana Sancho ilikuwa inamfaa ile ya kupishana
 
B... Haya mambo mbona husemi jamani? Kumbe mlinyanyaswa ukajidai uko busy kumbe unaugulia maumivu?
Bahati yako nilipitwa...

Lile gari lililowaka ndio hili ulilotamba last weekend? Wenzenu tunachakaza watu 6-0 na wala hatusemi. Lols
Mdakuzi
 
Manjesta ukifatilia hizi mechi alizoshinda juzi Kati hapa ,utacheka tu ,ubahatishaji tu

Halafu vs kina Luton


Mfano angalia hizo takwimu Ni vs Everton, utagundua Everton hawakuwa makini tu

Sir Jim lazima atamtimua tu huyu ETH ,kitu ambacho sipend , furaha yangu Ni kuona manjesta wanacheza Haram Taliban Football
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…