Hio migoli ya namna hio hua inanifanya niwe namkumbuka Wayne Rooney.
Ila timu letu bwana dakika 10 tu za mwanzo ndio walau hua tunacheza mpira unaonekana ila baada ya hapo ni mwendo wa kuzitia phumbu kabali.
Ila leo naona dakika zimeongezeka kidogo, tumecheza mpira wa kueleweka kwa dakika 20 za mwanzo, kipindi cha pili sijui hata hali itakuwaje maana michezaji yetu ikiwa inaongoza kwa goli moja huona tayari kazi waliyotumwa uwanjani wameshaikamilisha wanaanza kurelax.