Nemesis JF-Expert Member Joined Feb 13, 2008 Posts 5,536 Reaction score 4,532 Nov 25, 2023 #197,601 Emmahu said: Sir Jim namuona ni mtu anaeujua mpira, naona mateso sasa bac. Mijitu ya hovyo kama sancho, martial, na anthony watauzwa january. Na hao wastaafu hapo kwenye picha nao wanaeza kuuzwa.View attachment 2823399 Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app Click to expand... Ambacho sielewi, inakuwaje 25% akawa ndiyo owner na mwenye maamuzi kuzidi 75%? Kuna kitu nimemiss.
Emmahu said: Sir Jim namuona ni mtu anaeujua mpira, naona mateso sasa bac. Mijitu ya hovyo kama sancho, martial, na anthony watauzwa january. Na hao wastaafu hapo kwenye picha nao wanaeza kuuzwa.View attachment 2823399 Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app Click to expand... Ambacho sielewi, inakuwaje 25% akawa ndiyo owner na mwenye maamuzi kuzidi 75%? Kuna kitu nimemiss.
Bagabeach JF-Expert Member Joined Jun 30, 2021 Posts 1,351 Reaction score 2,786 Nov 25, 2023 #197,602 Nemesis said: Ambacho sielewi, inakuwaje 25% akawa ndiyo owner na mwenye maamuzi kuzidi 75%? Kuna kitu nimemiss. Click to expand... Yeah kwa hizo 25% kapewa nguvu kwenye depertment ya kusimamia masuala ya kiufundi na performance ya timu.
Nemesis said: Ambacho sielewi, inakuwaje 25% akawa ndiyo owner na mwenye maamuzi kuzidi 75%? Kuna kitu nimemiss. Click to expand... Yeah kwa hizo 25% kapewa nguvu kwenye depertment ya kusimamia masuala ya kiufundi na performance ya timu.
Forgotten JF-Expert Member Joined Jul 20, 2018 Posts 3,630 Reaction score 11,096 Nov 25, 2023 #197,603 Hii timu ndiyo imemuuza Elanga ikamuacha.......... 🤣
D A E M U S H I N JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 22,633 Reaction score 121,022 Nov 25, 2023 #197,604 Livramento anaupiga mwingi sana
D A E M U S H I N JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 22,633 Reaction score 121,022 Nov 25, 2023 #197,605 Kieran tripppier ananiprove wrong, nilipingana na tetesi za kutakiwa kwake nyakati zile za OLE, sababu kuu ilikuwa ni majeruhi na umri. Kieran anaupiga mwingi sana
Kieran tripppier ananiprove wrong, nilipingana na tetesi za kutakiwa kwake nyakati zile za OLE, sababu kuu ilikuwa ni majeruhi na umri. Kieran anaupiga mwingi sana
trigger_ JF-Expert Member Joined Apr 9, 2019 Posts 764 Reaction score 1,414 Nov 25, 2023 #197,606 Everton ni kama kashakatwa point tatu nyengne atulie Manchester kesho nimsomee hukumu
999 chatta JF-Expert Member Joined Apr 17, 2020 Posts 874 Reaction score 1,627 Nov 25, 2023 #197,607 Ule mgoli wa King Kai, Hodjulund hata Kwa dawa hafungi
Guacamole JF-Expert Member Joined Mar 19, 2019 Posts 6,079 Reaction score 16,035 Nov 26, 2023 #197,608 Everton yupo mkiani, hana cha kupoteza, kashapaka mkongo.. Kwa kifupi mjiandae. Kesho naangalia mpira miguu juu!
Everton yupo mkiani, hana cha kupoteza, kashapaka mkongo.. Kwa kifupi mjiandae. Kesho naangalia mpira miguu juu!
trigger_ JF-Expert Member Joined Apr 9, 2019 Posts 764 Reaction score 1,414 Nov 26, 2023 #197,609 MalcolM XII said: Everton yupo mkiani, hana cha kupoteza, kashapaka mkongo.. Kwa kifupi mjiandae. Kesho naangalia mpira miguu juu! Click to expand... Leo kajichanganya kayatimba
MalcolM XII said: Everton yupo mkiani, hana cha kupoteza, kashapaka mkongo.. Kwa kifupi mjiandae. Kesho naangalia mpira miguu juu! Click to expand... Leo kajichanganya kayatimba
Bagabeach JF-Expert Member Joined Jun 30, 2021 Posts 1,351 Reaction score 2,786 Nov 26, 2023 #197,610 trigger_ said: Leo kajichanganya kayatimba Click to expand... Last 5 match Man United won 4/5 GLORY GLORY MANCHESTER UNITED
trigger_ said: Leo kajichanganya kayatimba Click to expand... Last 5 match Man United won 4/5 GLORY GLORY MANCHESTER UNITED
Guacamole JF-Expert Member Joined Mar 19, 2019 Posts 6,079 Reaction score 16,035 Nov 26, 2023 #197,611 Bagabeach said: Last 5 match Man United won 4/5 GLORY GLORY MANCHESTER UNITED Click to expand... Bado mnawaza historia.. Haya, mimi nipo pale!
Bagabeach said: Last 5 match Man United won 4/5 GLORY GLORY MANCHESTER UNITED Click to expand... Bado mnawaza historia.. Haya, mimi nipo pale!
hamis77 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 18,282 Reaction score 26,683 Nov 26, 2023 #197,612
Guacamole JF-Expert Member Joined Mar 19, 2019 Posts 6,079 Reaction score 16,035 Nov 26, 2023 #197,613 hamis77 said: View attachment 2825390 Click to expand... Yani hiki kikundi chote kina goli 1 tu!😂🙌
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 8,582 Reaction score 19,226 Nov 26, 2023 #197,614 hamis77 said: View attachment 2825390 Click to expand... Unawazingizia mzee
Darmian JF-Expert Member Joined Oct 1, 2017 Posts 17,300 Reaction score 46,749 Nov 26, 2023 #197,615 Maajabu haya.. Yaani leo tukishinda City atakuwa anatuzidi point tano na Liverpool atakuwa anatuzidi nne..
Maajabu haya.. Yaani leo tukishinda City atakuwa anatuzidi point tano na Liverpool atakuwa anatuzidi nne..
Mr Devil JF-Expert Member Joined Jul 7, 2019 Posts 14,905 Reaction score 34,435 Nov 26, 2023 #197,616 Darmian said: Maajabu haya.. Yaani leo tukishinda City atakuwa anatuzidi point tano na Liverpool atakuwa anatuzidi nne.. Click to expand... Labda mki shinda njaa
Darmian said: Maajabu haya.. Yaani leo tukishinda City atakuwa anatuzidi point tano na Liverpool atakuwa anatuzidi nne.. Click to expand... Labda mki shinda njaa
Bagabeach JF-Expert Member Joined Jun 30, 2021 Posts 1,351 Reaction score 2,786 Nov 26, 2023 #197,617 Darmian said: Maajabu haya.. Yaani leo tukishinda City atakuwa anatuzidi point tano na Liverpool atakuwa anatuzidi nne.. Click to expand... Relax bro, msimu jana tumekamata nafas ya tatu. ETH is cooking
Darmian said: Maajabu haya.. Yaani leo tukishinda City atakuwa anatuzidi point tano na Liverpool atakuwa anatuzidi nne.. Click to expand... Relax bro, msimu jana tumekamata nafas ya tatu. ETH is cooking
A arsenal2004 JF-Expert Member Joined Feb 12, 2023 Posts 2,328 Reaction score 4,315 Nov 26, 2023 #197,618 Darmian said: Maajabu haya.. Yaani leo tukishinda City atakuwa anatuzidi point tano na Liverpool atakuwa anatuzidi nne.. Click to expand... Mnashindia wapi...mkijitahidi leo shilingi inasimama kati...ila mnadundwa
Darmian said: Maajabu haya.. Yaani leo tukishinda City atakuwa anatuzidi point tano na Liverpool atakuwa anatuzidi nne.. Click to expand... Mnashindia wapi...mkijitahidi leo shilingi inasimama kati...ila mnadundwa
Paz3i JF-Expert Member Joined Oct 11, 2014 Posts 1,034 Reaction score 1,521 Nov 26, 2023 #197,619 leo lazima kiwake
hamis77 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 18,282 Reaction score 26,683 Nov 26, 2023 #197,620 Nyie hata point muwe sawa na wale nafasi za juu ,kwa mpira wenu wa janja janja mtapotea Mmeshinda mechi 3 ,against mid teams halafu zimewasumbua Sana, kama luton Magoli ya dakika za mwisho
Nyie hata point muwe sawa na wale nafasi za juu ,kwa mpira wenu wa janja janja mtapotea Mmeshinda mechi 3 ,against mid teams halafu zimewasumbua Sana, kama luton Magoli ya dakika za mwisho