Manchester United (Red Devils) | Special Thread

| 𝗚𝗮𝗿𝘆 𝗡𝗲𝘃𝗶𝗹𝗹𝗲:

"Erik ten Hag ni meneja mzuri sana, tunajua hilo, hatuwezi kupinga hilo. José Mourinho ni meneja mzuri, hatuwezi kupinga hilo. Tunachopaswa kujiuliza ni sababu ya kuendelea kushindwa katika klabu hii. Sio kwa sababu ya mchezaji mmoja au uwezo wake. Ni kushindwa kwa kitamaduni, na ndivyo hivyo."

"Tumeona mameneja wakubwa na wachezaji wa soka wakija kwenye klabu hii na kufa mbele ya macho yetu."

"Kwa kweli ninaamini kuna sumu kwenye klabu hii, inakula kila meneja anayekuja na kila mchezaji anayekuja."

"Harry Maguire alitakiwa kwenda Manchester City, Mason Mount alitakiwa kwenda Liverpool. Watazame sasa, wako makaburini."
 
BREAKING : Mfungaji Bora wa Manchester United Msimu Huu - Casemiro atakuwa nje kwa Wiki Kadha.


Casemiro alipata jeraha la msuli wa paja wakati Manchester United iliposhindwa katika Kombe la Carabao dhidi ya Newcastle United Jumatano.


"Mvua ikinyesha, inanyesha..."
 
Vinasaba anachoongelea hapo ni style yetu ya uchezaji ambayo tumezoea ambayo ni direct football..
Sasa mkuu hili jambo mbna kama ni hivi utakua ni udunduka kuhangaika na mfumo hauna maana kwetu
DNA watu tunakufa kila siku
Uko kukazana na DNA
 
GLAZERS FAMILY wanatoa pesa msajili 'WATU' ila nyie mnasajili akina 'KIKONGWE CASEMIRO' ambae kashajichokea vya kutosha
REAL MADRID sio wajinga, ukiwa mtu pale hutoki. Waliona wajingajinga wakuwala mamilion wapo, wakataka 73M nanyi mkatoa kununua mchezaji ambaye muda mwingi anatumikia either gerezani (RED CARD) au wodini (INJURY)
Haya sasa CASEMIRO OUT WIKI 7 ATAKUWA NJE
CASEMIRO kaumia na atakuwa nje hata kule Denmark mnangojewa kwa ham na vi'COPENHAGEN vitawagonga vibaya mno mpaka mtakoma na hivi mido enu ina mapeng


REAL MADRID waliona kabisa huyu kaisha tuuzie 'WANAOJICHANGANYAGA' sokoni ambao wapo radhi kutoa mamilion kununua magharasa akina MAGUIRE, LISANDRO MARTINEZ, MALACIA, MARTIAL, SANCHO, HOJLUND, ANTONY na mwisho wa siku kumlaumu mmiliki eti 'OUT'
Hivi kama GLAZERS FAMILY hawafai, ARSENAL wasemaje?
Maana ukiangalia ARSENAL bajeti yao ni ndogo sana tofauti na MANCHESTER UNITED lkn uwanjan ishakuwa ni kama maji na mafuta

MANCHESTER UNITED tabu iko palepale, mkikaza kwa FULHAM mnamaliza nguvu za kumzuia COPENHAGEN na kipigo cha kwenye UEFA kitawafanya mburuze mkia hahahahahaaaa

CASEMIRO, PARTEY, NKUNKU, JESUS ni bora uwe na akina MUDRYK, NKETIAH, ELANGA wanaotumia muda mwingi uwanjan na sio wodini

Ndugu NYUMBU, mnapigwa na FULHAM kisha mnaenda kugongwa na COPENHAGEN halafu mumlaumu GLAZER anayetoa mamilion ambayo mnanunulia vikongwe na majeruhi
 
Haya maoni ya mdau sio mimi
 
Sasa mkuu hili jambo mbna kama ni hivi utakua ni udunduka kuhangaika na mfumo hauna maana kwetu
DNA watu tunakufa kila siku
Uko kukazana na DNA
Tunalud tatizo la man U ni kubwa... team inajua mpira wake ni direct football kwann ilete kocha ambae ni possession based..

Sawa huyo aliyekuja ni possession based ila sajili za direct football 😃😃😃
 
Tunalud tatizo la man U ni kubwa... team inajua mpira wake ni direct football kwann ilete kocha ambae ni possession based..

Sawa huyo aliyekuja ni possession based ila sajili za direct football 😃😃😃
Sasa mkuu
Sajili kama antony utasema ni direct player?
Je mount?
Je sancho?

Casemiro ndio
Rashford ndio
Eriksen je?
Hivi maguire na scott wangeuzwa tangu enzi hizo si tungeshapata hata mkwanja wa watu wengine sahv pengine huu utumbo tusingekua tunauona ila sawa
Game ya baadae siangalii kama nayaona matokeo
 
Sancho kasajiliwa kipind cha nani???
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…