Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Antony anaanzaje benchi mechi kama hii? Antony alifungiwa mechi kama tatu tukapigwa zote, juzi hapa amerudi angalao tunashinda shinda.
 
Mbona wanangu wa unyumbuni kama hampo serious na hii game. Man shitty mabeki wazito, inabidi muwe na mawinga wa kuwakimbiza muda wote. Sasa kwa hiki kikosi Kuna hata draw hapa
 
Jonny Evans makes his first Old Trafford Manchester derby appearance since October 2011, when he received a red card and #mufc were beat 6-1 by Man City.
 
Mount & Antony.

Hao wachezaji wawili tumetumia £150m kuanzia bench maana yake kwa ufupi ni kuwa EtH hajui anachokifanya United.
Inawezekana kweli una hoja, Ila unajua fitness ya mount au Antony?
Unataarifa ya Mazoezini kuhusu hao wawili?

Acha kuangalia price tag ya wachezaji, Ericksen ni mzuri kuliko mount ukiacha kwamba anakata Moto mapema. Ambapo hapo ataingia huyo mount

hamis77 awaambie Mara ngapi kwamba Antony mmepigwa?
 
Achana na mambo ya "hawakufanya mazoezi vizuri" ..mchezaji mzuri ni mzuri tu, hata kama mazoezi hakufanya vizuri. Yaani kipara amuweke Haaland nje kwa kuwa tu hakufanya mazoezi vizuri?
 
Taarifa iwafikie nyumbu

Rashford pamoja na kwamba huu ni msimu wake wa 10 hajawahi kufunga hat trick, ila Striker la mabao limeweka hat trick yake jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…