Mwingine anaweza kusema anatumia mbinu hiyo ili kubypass press ya wapinzani wao kwenye msitari wake wa pili wa ulinzi.7hag anafundisha brand gan ya football?
Nikisema huyu kocha Ni average nitakuwa nakosea?
Hapa chini Ni mechi tofauti Lakini uchezaji Ni ule ule
Je Nani walimpa Cheti Cha ukocha?View attachment 2793270View attachment 2793271
Hiyo hadithi inanikumbusha mbali sana ,enzi hizo kitaani kipindi tunasimuliwa ilikuwa naisikiliza kwa makini mno.Harry maguer
Ni kama hadeeth ya CHAUPELE vile
Wale waliozaliwa miaka ya 2000
Ni ngumu kujijua hadith hii
Afadhali kdg waliozaliwa miaka ya 93 kurud chini
Ni yule kijana alietaka Kuachwa ktk Sfr ya maisha ya Dada yake
Akaenda kizarizari
Mwishowe Akaja kua msaada mkubwa ktk kuokoa uhai wa Dada yake na wengineo.
Hii imefanana na Huyu kiumbe Harry Maguer
Walishakusudia kumuuza Lkn wanunuz ss ndio ikawa Shida
Wakafika ATUA ya kumtoa kwa mkopo Lkn pakakwama Kdg tu.
Leo hii amewapa ushindi wa kwanza ktk uefa champions league
Ili kua lazima washinde ili Kurudisha hali za Mashabik ktk UCL.
Hongera sana maguer Hongera man utdView attachment 2792066
Mimi nimeanza kuwa Shabiki wa United msimu tuliopiga 6-1 Arsenal nafikiri ilikuwa 2001.Bila ya hawa jamaa nisingekuwa mshabiki wa manchester united mwaka huo 1999 rasmi nikawa mshabiki wa manchester united
View attachment 2794305
View attachment 2794306
Tulianza siku moja kushabikia manchester united.Mimi nimeanza kuwa Shabiki wa United msimu tuliopiga 6-1 Arsenal nafikiri ilikuwa 2001.
Kumbe huwa nabishana na wazee kabisa ,polen sana aiseee saizii nitakuwa nauuliza umri Kwanza kabla ya kufanya arguments...huyu anashabikia united wakati mim ninamiaka 3Bila ya hawa jamaa nisingekuwa mshabiki wa manchester united mwaka huo 1999 rasmi nikawa mshabiki wa manchester united
View attachment 2794305
View attachment 2794306
Duuuuuuu!!!!!! Kumbe huijui Man united maskini. Pole sana kijanaKumbe huwa nabishana na wazee kabisa ,polen sana aiseee saizii nitakuwa nauuliza umri Kwanza kabla ya kufanya arguments...huyu anashabikia united wakati mim ninamiaka 3
Yeah ilikuwa mechi ya maana sana nadhani nilikuwa na miaka 15. kuanzia siku hiyo Man united ni kama chakula changu cha uzima.Tulianza siku moja kushabikia manchester united.
Ilikuwa majira ya jioni, dwight yorke anafunga hatrick.
nilikuwa na miaka 7
Maajabu.
Sina kumbukumbu vizuri ni mwaka gani lakini ni mwanzoni mwa kati ya 2002-2003 kama sijakosea. Ni mechi ambayo Man U alishalala ila dakika za nyongeza na zikisalia sekunde Beckam anatengewe mpira wa adhabu karibu na lango la wapinzani. Kabla ya kupiga ule mpira anawahamasisha mashabiki kushangilia,anapiga ile free kick chuma inaitika wavuni. Nikasema hapa sasa ngoja niweke kambi😀😀😀Bila ya hawa jamaa nisingekuwa mshabiki wa manchester united mwaka huo 1999 rasmi nikawa mshabiki wa manchester united
View attachment 2794305
View attachment 2794306
Mechi unayoongelea itakuwa ni ile ya 1998 vs Leicester City ndiyo alifunga goli dk ya 90. Mpaka dk ya 76 United walikuwa wamefungwa 2-0. Dk ya 79 Teddy Sheringham akaugusa mpira wa Beckham (deflection) likawa goli, Becks akitoa assist.Sina kumbukumbu vizuri ni mwaka gani lakini ni mwanzoni mwa kati ya 2002-2003 kama sijakosea. Ni mechi ambayo Man U alishalala ila dakika za nyongeza na zikisalia sekunde Beckam anatengewe mpira wa adhabu karibu na lango la wapinzani. Kabla ya kupiga ule mpira anawahamasisha mashabiki kushangilia,anapiga ile free kick chuma inaitika wavuni. Nikasema hapa sasa ngoja niweke kambi😀😀😀
2022Hii ndiyo aina ya wachezaji tulionao!View attachment 2795337
Hata muda wa kuifatilia sina.Dah mwanangu hii timu ulishaisusa kabisa
Hujawahi kua na akili hata sikumoja.Nyumbuz na utopolo wanafanana
Ndio maana wengi wetu tumeamua kujiweka pembeni kuepuka msongamano.Walio bahatika kuianglia Manchester United 1999-2008 ndo walio pata furaha na kuenjoy hii team