Mkuu huyu Hojlund huwa unamfatilia akiwa na NT pia? Kiwango chake kwa team yake ya Taifa ndio kingine kinachonionyesha ni kwa kiasi gani team yetu ni mbovu kupindukia.Yule Hojlund na genge lake pale mbele ni sawa na 0 kabisa.
Team inaokolewa na wachezaji kutoka eneo jingine
January tujaribu kumchukua osmhen
Mkuu huyo Gusto jana kachoma goal la 2.Kwa uu mpira mnaopigiwa na shelffed united aise mukikutana na mikiki mikiki ya Mudrik na Malo Gusto munachezea mapema ukuni mutakatifu
Nawatia moyo tu😅Kumbe we ni nyumbu
Imekuwaje kachoma me skucheki game. Ni laivskoo tuMkuu huyo Gusto jana kachoma goal la 2.
Bruno ana ndoa ya maisha na united,tatizo united inamsaliti kila mechi,kila siku na kila msimu.Wataruka ruka weee lakini ni nadra sana kutokea mchezaji akamzidi rating 𝐁𝐫𝐮𝐧𝐨 𝐅𝐞𝐫𝐧𝐚𝐧𝐝𝐞𝐬 we anza kufuatilia.
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2789034
Chambuzi la tembele na cha-goat la aerial duel wonHii timu kwasasa ipo ICU , kuanzia next week inarud nafasi za 10-14
Nini maana ya mchambuzi?? Tuanzie hapoFor the first time,Mentor na mchambuzi mwenzangu George Ambangile ameshindwa kuichambua timu yake pendwa
Niliwahi kumwambia 7hag Ni average coach,alinibishia Sana ,now amebaki kuniona Mimi mchawi
Anasema
Anayeweza kuichambua Man United afanye hivyo tafadhali daah
*Kiukweli mm hata sioni tunatumia muundo gani ? Staili gani ya uchezaji ? Bila mpira tunatumia muundo upi kuzuia ? Labda sioni mimi peke yangu ndugu zangu naomba leo mnipe darasa hilo *
Tunashinda lakini ??: Sawa hata Mungu alisema tushukuru kwa kila jambo