Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Well deserved win.
Ina maana Masho ana mshahara mkubwa kuliko Garnacho!!!
 
Hizi promoted teams dawa yao ni kuzigonga goli kuanzia 4 kwenda mbele.

Ngoja tuwaonyeshe namna ya kuwaogonga hawa Sheffield jumamosi ijayo wakija Emirates..
 
Promoted teams zinawatoa kamasi

Mna msimu mrefu Sana

Next week mnaweza kupigwa 7-0
 
Against Burney, Sheffield united,Brentford dhaifu,

Mnashinda kwa kubahatisha

Halafu mnawaza kuingia top 6?


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hawa wachezaji ma legend wa kiingereza Wanajifanyaga wajuaji Sana . Baada ya kustaafu kucheza mpira wengi wakajikuta wamekua wachambuzi wa mpira . Wakaanza kupiga Domo na majungu Kwa makocha wa timu mbalimbali . Mourinho aliwahi kusikika akiwaambia badala ya kupiga majungu Kwa makocha kwenye video waingie na wao kwenye mtanange πŸ˜‚πŸ˜‚. Mungu si athumani hatimaye wameanza kuliona joto la jiwe .
Lampard
Neville
Steven Gerald __kakimbilia uarabuni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Shauku yangu naomba Sana Mungu siku watu Hawa PAUL scores na Rio Ferdinand wapewe nao ukocha tuone wanauchezaje mdumange maana ni wajuaji Sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji599][emoji2424] David Beckham on Sir Bobby Charlton’s passing:

β€œIt all started with Sir Bobby [emoji3590] Sir Bobby was the reason I had the opportunity to play for Manchester United...

I will forever be grateful to him, he was someone who I admired and who was a hero to many around the world, not just in Manchester and in our country where he won the World Cup in 1966...

A true gentleman, a family man and a national hero... Today is not just a sad day for Manchester United and England, it is a sad day for football and everything that Sir Bobby stood for...

Our thoughts are with Lady Norma, her daughters and his grandchildren. Rest in peace Sir Bobby.”

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ[emoji1179][emoji3541]
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨[emoji2522]
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™[emoji837]
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™[emoji469]
#π™‚π™‚π™ˆπ™[emoji123][emoji41]

man utd |
 
[emoji599][emoji2424] Dani Carvajal on the death of Sir Bobby Charlton: "The football world mourns his loss, my condolences to his family and friends. Football is mourning a legend."


[via Madrid Zone]
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ[emoji1179][emoji3541]
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨[emoji2522]
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™[emoji837]
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™[emoji469]
#π™‚π™‚π™ˆπ™[emoji123][emoji41]

man utd |
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…